FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,373
ana heri mkeo kakaangu ubarikiwe sanaSielewi ajabu iko wapi mwanaume kupika na kupakua chakula. Mwanaume anapooa anatafuta msaada juu ya mambo ambayo hana uwezo nao, tena anataka uhakika wa kuwpata msaada huo wakati wowote anapoutaka. Kama ni kupika, mwanaume anao uwezo wa kupika kwa ladha anayoitaka na pengine anaweza kupika kumzidi mwanamke.
Msaada anaoutaka kila mtu mzima anaujua. Hana ufariji ambao ni mwanamke tu aliyejaaliwa kuwa nao. Adam alipoumbwa ilionekana wazi atauhitaji na ndio maana Hawa ilibidi afanyike kuwapo. Ni ustaarabu wa binadamu unaomfanya aoe, vinginevyo angekuwa mbuzi asingeoa lakini faraja bado akaipata.