Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Kuna Mjadala huu wa wanaume kusaidia akina mama kuwapeleka watoto wao kiliniki!
Mtazamo mmoja unaona hili kama ni kubeba kila kitu cha wazungu na kwamba huu ni mtazamo ulipigwa tope la kikoloni. Kwamba haiwezekani, utakwendaje kliniki dume zima -- kwanza utajuaje kipimo cha maziwa. Kwamba haifai kabisa
Lakini wapo wanaoona kuwa kuna haja ya wanaume kuwasaidia wake zao -- hata kama inawezekana zamu za kuosha masufuria -- hapa ni vema tukapata uzoefu wa waliooa ama kuolewa na wazungu.
Pia jamii yetu inalaani sana hili, tena kwa jamii ya wagoyangi hili haliwezekani abadani, lazima watasema kala limbwata, lukomolo ama shuntama.
Mtazamo mmoja unaona hili kama ni kubeba kila kitu cha wazungu na kwamba huu ni mtazamo ulipigwa tope la kikoloni. Kwamba haiwezekani, utakwendaje kliniki dume zima -- kwanza utajuaje kipimo cha maziwa. Kwamba haifai kabisa
Lakini wapo wanaoona kuwa kuna haja ya wanaume kuwasaidia wake zao -- hata kama inawezekana zamu za kuosha masufuria -- hapa ni vema tukapata uzoefu wa waliooa ama kuolewa na wazungu.
Pia jamii yetu inalaani sana hili, tena kwa jamii ya wagoyangi hili haliwezekani abadani, lazima watasema kala limbwata, lukomolo ama shuntama.