Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,188
mitihani hyo tunaipata wenzio. Inshallah tutaishinda.Hahahaaaa umenivunja mbavu Husninyo.....!
mitihani hyo tunaipata wenzio. Inshallah tutaishinda.Hahahaaaa umenivunja mbavu Husninyo.....!
acha kunibania bwana. Mi sina ubongo wa kuumiza.Sasa hapo unanipa mtihani dada! Nafikiri hii siyo sehemu sahihi kwa kuelezea hicho kitu....sisi wengine tunafuata miiko ya kazi....lakini kama umewahikuvaa zile ch**p za bikin nakuomba jaribu kuumiza ubongo wako na kisha utapata jibu
washxxyz sana, mi mwenyewe nimeona bora huduma zingne nijifanyie mwenyewe. Nasave time na pesa.Kumbe tuko wengi............................halafu hapo nilipobold ndio kawaida yao kumbe.....................mi nahisi hawa ukionyesha kupenda na kuchekacheka nao...................mmhn!....................watataka kuingia mpaka chumbani!
Humo kwenye red mkuu....na ndiyo maana ukakuta kuna hospital za hali ya chini na hospital za hali ya juu spesho kwa watu fulani....na pia kuna Hotel za hali ya juu kama kempsiky nk....huko huwezi kuta porojo za uswazi wala umbea. So kuna salon hapa mjini zina mazingira kama ya mifano hiyo hapo....yaani ukiingia tu kwenye hiyo salon mwenyewe unajishtukia kiaina....unakuta kila kitu kiko cool na watu wako kikazi zaidi! hakuna cha umbea wala huduma mbovu....yaani hapo utashindwa bei tu. Je unaweza kulipa wash and set tsh 20.000? just wash and set and no moreMi sikufichi......................saluni nimeshaenda sana tu....................kwa huduma zote..........kucha na nywele pia........................nikaishia kununua dryer na vifaa vya kucha!....................ukinikuta mwenge ujue naenda kusuka rasta tu!
Kwanza saluni zetu hizi za kike.............kumejaa umbea................huduma mbovu...........na mengine ya ajabu ajabu tu.......muda mwingi uapotea huko..............
Halafu......................kuna sehemu nyingine nyingi unaweza kwenda na kutuliza ubongo zaidi ya saluni....................sijajua kinachokuburudisha huko saluni ni nini hasa?
Tafuta vikundi vya kimaendeleo vya wanawake..............viko vingi tu tena hawabagui umri........................kama unatafuta pa kupotezea muda
Ahsante kwa kuliona hilo mkuu....lakini najaribu kuelezea kile ambacho nakiamini kutokana na kazi hii na uwenda baadhi ya watu wakaanza kuielewahaya hayaaaa wenye wivu na wapaka rangi kucha haooooo msije mkawatoa roho vijana wa watu barabarani huko wanatafuta pesa ili waweze kuishi town hapa. km wewe unavyofurahi ukihudimiwa kwenye basi ndege hospitalini hotelini na msichana mreeembo na kuahidi kurudi tena ndivyo wenzenu nao wanavyosuuzika wakitomaswa tomaswa na mpaka rangi sababu hamjitumi!! akikuita darling nikune mgongoni au nifanyie masaji mguu wangu unajidai uko biize na TV au JF au MAN U vs CHELSEA. niambie hapo ndani kwenu lini mmekaa kochi moja angalau hata mkeo akakuegemea kidogo akasikilizia mapigo ya moyo wako? ukiona hayo hujafanya usimlaumu mpaka kucha rangi
Ahaaa! Haaaaa! Duh nimeipenda hiyo!Ndo ujifunze hizo kazi sasa ili uwe unafanya wewe..
Na wewe unajua?!Ahaaa! Haaaaa! Duh nimeipenda hiyo!
Usiombe Lizzy nibahatike kukuoa,kila kitu kitapatika home au nitakufunga GPRS!Na wewe unajua?!
Dada Aisha ahsante sana kwa kujitambua.....how unamuona mtu anakuhudumia kihuni huni na wewe unamchekea unafikili hatma yake ni nini?....lakini hata hivyo siyo salon zote unakutana na mambo kama hayo.....kuna salon ukiingia tu wala utamani hata kutoka nje....yaani unajisikia kama uko katika ya serengeti national park unaangalia wanyama live na huku helcopita inakusubilia pembeni tayari kurudi bongo. Hapo ni pesa yako tu.....kama ni costumer care,huduma mzuri nk....hapo ndiyo umefika! unaulizwa kinywaji chochote utakacho na utapewa tena ni burembona mi sioni tatizo wanaojiachia na kuweka sketi hadi kwenye mapaja wana lao wengine tunajiheshimu tunajivalia zetu suruali na siwezi kuacha kwenda sbb kupendeza napenda
Hata utembeapo barabarani na ukapishana na mwanamke kisha ukageuka na kuangalia makalio yake'pia ni hisia ya ngono kwa baadhi ya wanaume kujitosheleza kimapenzi.Kupakwa rangi kucha na dume ni aina mpya ya ngonohisia kwa wanawake kujitosheleza kimapenzi
Humo kwenye red mkuu....na ndiyo maana ukakuta kuna hospital za hali ya chini na hospital za hali ya juu spesho kwa watu fulani....na pia kuna Hotel za hali ya juu kama kempsiky nk....huko huwezi kuta porojo za uswazi wala umbea. So kuna salon hapa mjini zina mazingira kama ya mifano hiyo hapo....yaani ukiingia tu kwenye hiyo salon mwenyewe unajishtukia kiaina....unakuta kila kitu kiko cool na watu wako kikazi zaidi! hakuna cha umbea wala huduma mbovu....yaani hapo utashindwa bei tu. Je unaweza kulipa wash and set tsh 20.000? just wash and set and no more
kwa taarifa yenu kutoka kwa Mr kucha wale wanaume hawawapaki rangi tu ila wanawatomasa na mnangonoka kihisia,washxxyz sana, mi mwenyewe nimeona bora huduma zingne nijifanyie mwenyewe. Nasave time na pesa.
hahaaa ugonjwa mbaya saaana umeiingia jamii yetu. sasa hata wao kwa wao wanageuka kuyatizama. km msichana hana hiyo issue anakuwa hana confidence(si wote plse) tumeweka hisia zaidi kuliko uhalisia.Hata utembeapo barabarani na ukapishana na mwanamke kisha ukageuka na kuangalia makalio yake'pia ni hisia ya ngono kwa baadhi ya wanaume kujitosheleza kimapenzi.
Kha....kisa cha kulindwa hivyo?Usiombe Lizzy nibahatike kukuoa,kila kitu kitapatika home au nitakufunga GPRS!
kuliona kalio la mwanamke ni tofauti na kulishika ,nahakika mshikachuma kwenye hii saluni yangu nkakushika with intention of sex desire kwenye miguu yako utafika peak tu, hawa mr kucha huwa wanatuambia leo nimek¤j¤lesha watano ,sita.....Hata utembeapo barabarani na ukapishana na mwanamke kisha ukageuka na kuangalia makalio yake'pia ni hisia ya ngono kwa baadhi ya wanaume kujitosheleza kimapenzi.
hahaha! Kuna mwingine ubungo nilijitosa kuscrub miguu nashangaa mtu analeta mikono hadi kwenye mapaja huku ananiangalia usoni aone narespond vipi. Nikamuuliza we vipi huku nimekunja uso, akaniambia wenzio huwa nawascrub hadi huko. Khaa!Ukiwa mwepesi mnabakana ndani.
bikin line ndio ipoje hyo nikajaribu?