mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Si umeona enheee! alafu kunawatu wanakuja hapa jamvini na blah blah za kuponda kazi za watu.....wanaona ile kazi ni ya kijinga sana! yaani wangejuwa watu wanajenga na kusomesha watoto kwenye international schoolz wasingethubutu kusema upupu huusiku hizi sio wakongo tu. Nimetoka saluni sahv mkaka wa kichaga kaniseti. Ukiniona mwenyewe utanitamani. Hahahaha! Siku hz hakuna kazi ya kike wala kiume. Wanawake wenyewe zege tunabeba.