fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Wadau,nimepata kuskia katika kituo flani cha redio nchini kenya wanaume wakipiga simu na kukiri kuwa walibubujikwa na machozi baada ya kuangalia hatma ya kipindi almaarufu kwa jina IN THE NAME OF LOVE na kiupande wangu nimewaona ma pumba sana waliokiri hayo.Hivi kama dume zima limekaa na wanawe wanaangalia hicho kipindi na linalia ni ishara gani linatoa? Mh! Wadau,sikubahatika kuona hicho kipindi na kama kuna ndume imewahi kukiona atoe hisia zake.nawasilisha nikiwa full huzunishwa na hio tabia.