Miss Bantu
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 153
- 141
Hivi kwanini mnakua hamuelewi pale mwanamke anapokwambia tiari anampenzi wake, jamani mnakela yani mtu anang'ang'ania tafikiri aliambiwa nimezaliwa kwa ajili yake.!!!
jitu...kupe....
Hahaha! Weeh, wanaume wana nafuu! Ulishawahi kuona mwanamke akimganda mwanaume? Hata kama ni mwanaume wako ndo anagandwa, utajikuta unamuonea huruma!
By the way, a little bit of stalking won't kill u, enjoy the ride hehehe!
Au mwanamke anamng'ang'ania mwanamke mwenzake..........Hahaha! Weeh, wanaume wana nafuu! Ulishawahi kuona mwanamke akimganda mwanaume? Hata kama ni mwanaume wako ndo anagandwa, utajikuta unamuonea huruma!
By the way, a little bit of stalking won't kill u, enjoy the ride hehehe!
Afu wewe.... hebu acha unoko kabla sijakutumia ziraili..mpe za uso kama haelewi somo. dah wanakera niaje! hebu acha kumuintertain. usipokee cm zake, usijibu sms kama vp mblock no.zake. atachoka mwenyewe
Au mwanamke anamng'ang'ania mwanamke mwenzake..........
:flypig::flypig::flypig:
I miss u kijukuu kiteule....:A S-heart-2:
Afu wewe.... hebu acha unoko kabla sijakutumia ziraili..
Hali buheri, siku hizi umenipotezea. Mapenzi yetu si kama ya zamani.sema babu mi na we tunakimbiana kama paka na simba ..
Vipi babu hali inasemaje??
Dawa yako wewe ni kukuloga tu basi....babu nawe ukicheza nakupa za uso, make me ckawizi ati. . . .
babu nawe ukicheza nakupa za uso, make me ckawizi ati. . . .
mpe za uso kama haelewi somo. dah wanakera niaje! hebu acha kumuintertain. usipokee cm zake, usijibu sms kama vp mblock no.zake. atachoka mwenyewe
Hali buheri, siku hizi umenipotezea. Mapenzi yetu si kama ya zamani.
Nimekukosea nini mjukuu mteule nikutake radhi?