Wanaume Ili awe chombezo la moyo wako pekee ni sifa zipi mnazitaka awe nazo ??

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....

FL1
 
Wanaume tu viumbe tunaopenda 'changes' muda wote. Hatuwezi kutumia kitu kimoja (ambacho kwa jinsi kilivyokuwa jana, ndivyo kilivyo na leo, na hata kesho unajua kitakuwa vivyo hivyo). Hii ina maana kuwa kama wanawake watakuwa wabunifu katika mahusiano (kwa maana ya kufanya kitu kisizoeleke), basi wanaume hawana haja ya kwenda nje. Kwa nini ukatafute vitu vipya nje, tena mbali ilhali hivyo vipya unavyo ndani?
Wanawake wengi huwa wanakuwa wabunifu siku za kwanza za mahusiano (wanafanya kila kitu kipya). After a while, sijajua ni kwa nini, wanakuwa 'constant'.
Mfano; Upo katika ndoa. Mpangilio wa sebule yako uko vilevile kwa muda wa hadi mwaka (Unaweza hata kuichora sebule yako hata ukiwa mbali na nyumbani). Wanaume wakizoea hali hii, hawatatulia 'home' hata kidogo. Watatoa visingizio ili mradi tu aende hata kwa marafiki zao ili wakaone vitu vipya.
Mwisho: Umbile na uzuri wa nje, vyaweza kuwa sababu ya wanaume kutulia. Lakini si mara zote.
-Tafakari-
 
Wanaume tu viumbe tunaopenda 'changes' muda wote. Hatuwezi kutumia kitu kimoja (ambacho kwa jinsi kilivyokuwa jana, ndivyo kilivyo na leo, na hata kesho unajua kitakuwa vivyo hivyo). Hii ina maana kuwa kama wanawake watakuwa wabunifu katika mahusiano (kwa maana ya kufanya kitu kisizoeleke), basi wanaume hawana haja ya kwenda nje. Kwa nini ukatafute vitu vipya nje, tena mbali ilhali hivyo vipya unavyo ndani?
Wanawake wengi huwa wanakuwa wabunifu siku za kwanza za mahusiano (wanafanya kila kitu kipya). After a while, sijajua ni kwa nini, wanakuwa 'constant'.
Mfano; Upo katika ndoa. Mpangilio wa sebule yako uko vilevile kwa muda wa hadi mwaka (Unaweza hata kuichora sebule yako hata ukiwa mbali na nyumbani). Wanaume wakizoea hali hii, hawatatulia 'home' hata kidogo. Watatoa visingizio ili mradi tu aende hata kwa marafiki zao ili wakaone vitu vipya.
Mwisho: Umbile na uzuri wa nje, vyaweza kuwa sababu ya wanaume kutulia. Lakini si mara zote.
-Tafakari-

sasa kwani wewe huwezi kumsaidia mkeo idea ya kuchora sebule yenu? Jamani kwenye ndoa mnasaidiana na kuelekezana.
 
SIFA nimechangia kwenye MADA moja hapa nikaonesha jinsi ninavyomsaidia mamsap kuna mtu kanishauri niende kwa MGANGA eti nimewekewa dawa Inaonesha kwa mwanaume kumsaidia mwanamke eti LIMBWATA, lkn kwenye nyumba ndogo huko watu wanajituma balaa kuna zee moja lilikuwa Wizara ya MAJi enzi hizo na MIFUGO alikuwa na nyumba ndogo yake inasoma magogoni na inakaaa pale Hostel ya KICHWELE buguruni yule mzee hata apigiwe simu saa nane ya usiku atatoka kumfuata yule demu hapo kamuacha mke wake amelala home, hizi ni tabia tu mbaya za wanaume Msaidie mwenzio kupanga hiyo sebule au hata room kama kitanda kilikaa mtindo huu basi weka mtindo mwingine mwenzio akija anakuta mabadiliko
 
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....

FL1
Kwangu mimi mwanamke hata akiwa na kilakitu(kakamilika)utashangaa nitataka kwenda kujaribu kilema nione naye anakipi?Nikiona vipi nawatafuta akina Semanya ili mradi nisipitiwe na ladha tuu!!
 
Kwangu mimi mwanamke hata akiwa na kilakitu(kakamilika)utashangaa nitataka kwenda kujaribu kilema nione naye anakipi?Nikiona vipi nawatafuta akina Semanya ili mradi nisipitiwe na ladha tuu!!

mchajikobe umenichekesha hapa nilipo ahaaa ahaaah aahaha du iko kazi
kwa hiyo hata mtu ajitahidi kukufanyia maarifa ya kila namna lazima ukatest zali nje
 
Wanaume tu viumbe tunaopenda 'changes' muda wote. Hatuwezi kutumia kitu kimoja (ambacho kwa jinsi kilivyokuwa jana, ndivyo kilivyo na leo, na hata kesho unajua kitakuwa vivyo hivyo). Hii ina maana kuwa kama wanawake watakuwa wabunifu katika mahusiano (kwa maana ya kufanya kitu kisizoeleke), basi wanaume hawana haja ya kwenda nje. Kwa nini ukatafute vitu vipya nje, tena mbali ilhali hivyo vipya unavyo ndani?
Wanawake wengi huwa wanakuwa wabunifu siku za kwanza za mahusiano (wanafanya kila kitu kipya). After a while, sijajua ni kwa nini, wanakuwa 'constant'.
Mfano; Upo katika ndoa. Mpangilio wa sebule yako uko vilevile kwa muda wa hadi mwaka (Unaweza hata kuichora sebule yako hata ukiwa mbali na nyumbani). Wanaume wakizoea hali hii, hawatatulia 'home' hata kidogo. Watatoa visingizio ili mradi tu aende hata kwa marafiki zao ili wakaone vitu vipya.
Mwisho: Umbile na uzuri wa nje, vyaweza kuwa sababu ya wanaume kutulia. Lakini si mara zote.
-Tafakari-
na wewe uwe mbunifu kwenye mapenzi usitegemee kubuniwa kila siku.
wakati mwingine na wewe unakuja na idea leo tufanye hivi, siyo unakaa tu unataka kila kitu ufanyiwe hata wanawake tunapenda wanaume wabunifu.
 
Mimi napenda mwanamke aliye mkarimu. Mwenye maadili yanayokubalika na jamii kwa ujumla (mainstream society). Mwenye maarifa ya kawaida (common sense). Anayejiheshimu na kuheshimu wengine. Mwenye hulka na tabia za kike (feminine). Haivutii hata kidogo kuwa na mwanamke anaye-act kama dume. Big turn off!!

I don't ask for much. Akiwa na sifa hizo tu mimi niko tayari to take the bad with the good.
 
Mimi napenda mwanamke aliye mkarimu. Mwenye maadili yanayokubalika na jamii kwa ujumla (mainstream society). Mwenye maarifa ya kawaida (common sense). Anayejiheshimu na kuheshimu wengine. Mwenye hulka na tabia za kike (feminine). Haivutii hata kidogo kuwa na mwanamke anaye-act kama dume. Big turn off!!

I don't ask for much. Akiwa na sifa hizo tu mimi niko tayari to take the bad with the good.

Sifa zote ulizozitaja mimi ninazo sasa upo tayari??
 
Kuna baadhi ya wanaume ni viumbe vya ajabu, hata apate mwanamke mwenye tabia nzuri, sura nzuri, umbo zuri na elimu lakini bado atachomoka kwenda nje. Hivi viumbe kuridhika ipo tabu.
 
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....

FL1

1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10.LIMBWATA

Ha ha ha haaaaaaaaaaaaa, Dada FL1 hilo muhimu ingawa wengi wataponda
 
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....

FL1

FL1 hebu mwaga SIFA zako hapa ili tuanza na wewe, halafu mi nilishakushauri huyo jamaa achana nae atakupasua kichwa bure, mbona tupo tupo watu kibao hapa, PM
 
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....

FL1

...mwanamke yeyote yule atayekuwa na sifa tofauti na mama watoto.

...i.e, hata mama watoto akiwa na sifa zote, mwanamke yeyote (iwe ni house girl, Barmaid, changudoa, secretary, co worker, hata intern kama Monika Lewinsky etc) almuradi mwenye sifa tofauti na mke, anavutia!

Habari ndio hiyo!
 
Kuna baadhi ya wanaume ni viumbe vya ajabu, hata apate mwanamke mwenye tabia nzuri, sura nzuri, umbo zuri na elimu lakini bado atachomoka kwenda nje. Hivi viumbe kuridhika ipo tabu.

...hata kinywa kuna siku kinachoka nyama na kauzu, kinatamani ngogwe!

kwanini kuikalifisha nafsi bana?
 
...mwanamke yeyote yule atayekuwa na sifa tofauti na mama watoto.

...i.e, hata mama watoto akiwa na sifa zote, mwanamke yeyote (iwe ni house girl, Barmaid, changudoa, secretary, co worker, hata intern kama Monika Lewinsky etc) almuradi mwenye sifa tofauti na mke, anavutia!

Habari ndio hiyo!

...hata kinywa kuna siku kinachoka nyama na kauzu, kinatamani ngogwe!

kwanini kuikalifisha nafsi bana?

Dah, mkuu ndo kuisha kwa mfungo ama nini..hebu taratibu na hizi 'kauli' tusije tukajikwaa bure!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom