FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Wanaume ni mwanamke gani mnayemtaka na awe na sifa gani ili muweze kutulia katika mahusiano yenu ??mnahangaika sana ukiona mrembo kakatiza huishi kugeuza shingo
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....
FL1
1. Umbo zuri namba 8 macho ya mviringo
2. Sura 50/50 tabia njema
3....
4....
5....
10....
FL1