Kama ana jinsia mbili atakuwaje mwanamke? Wenye jinsia mbili wanaitwa huntha.
Natumia tulichokubaliana nakuendelea na maisha
me ni mwanamke
ukamilizia kwambaMaana umbile lake ni la kike na vigezo vyote vya kike anavyo kasoro sehemu za siri tu
swali langu ni, ilikuwaje mpaka mkavuliana nguo wakati wote ni wanawake?nilimshuhudia kwa macho yangu
nilisikia tetesi kwamba rafiki yangu ana jinsia mbili, sikuamini! nikamuhuliza akakataa nilipombembeleza aniambie ili nijue jinsi gani ya kumsaidia ndipo akakubali kunionyesha na ni kweli ana jinsia mbiliumesema kuwa
halafu
ukamilizia kwamba
swali langu ni, ilikuwaje mpaka mkavuliana nguo wakati wote ni wanawake?
ok. Mwambie aende hospitali na atoe nyeti asiyoipenda, mpe moyo wakati wa hiki kipindi kigumu.nilisikia tetesi kwamba rafiki yangu ana jinsia mbili, sikuamini! nikamuhuliza akakataa nilipombembeleza aniambie ili nijue jinsi gani ya kumsaidia ndipo akakubali kunionyesha na ni kweli ana jinsia mbili
usiombe kuona unaweza ukazimia kwa mshangao
nilisikia tetesi kwamba rafiki yangu ana jinsia mbili, sikuamini! nikamuhuliza akakataa nilipombembeleza aniambie ili nijue jinsi gani ya kumsaidia ndipo akakubali kunionyesha na ni kweli ana jinsia mbili
usiombe kuona unaweza ukazimia kwa mshangao