Wanaume hii imekaaje?

mwambie anachunwa shost.
amekuwa ustaw wa jamii bla kujijua
amkimbize hakuna love apo zaid ya kutumika
kadanganyika na muhogo?na maneno lain ya blue band....dah kaz nzto ama kwel mwalimu wetu kaded

SEMESTER IJAYO ATALIPIA YEYE PANGO...ahhh ata ivo aijatulia mwambie akatafute nyumba.

dah kuna watuwanapenda jaman dunian umu mpk akil inahama....:twitch:
Ukiona hivyo Waridi ujue jamaa yuko fiti kitandani na dada hawezi tia neno ataishia kulalamika pembeni.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom