Kokote unatakiwa uwe fitiUtajituma kitandani sana, lakini ukiwa huna pesa hutamshika yeyote.
Labda ni utafiti maana katika uhalisia haipo.Huo ni utafiti au uhalisia
Haswaa mkuu pesa ni sabuni ya roho....
Hayo tutayajadili kwenye sredi nyingine.....unaweza kumtimizia mahitaji yake yote ukamfumania na mtu hata mlo mmoja hajiwezi.........na unaweza kuwa na vyote bado akatamani kwingine maisha ya mwanadamu yana kizunguzungu
Refer my signature.....Bado pesa si kila kitu...
jaman utakuwa baba huruma sasa unaishi wapi vile??Kuumbe ndomana Mtaani mademu wakiniona BEKI HAZIKABI????
Tatizo mimi sio bahili na huwa nina moyo wa huruma sana...
Utafiti unaoendana na uhalisia....Huo ni utafiti au uhalisia
Yes hii ni kwa mwanaume wa kweli.....Tunatumia pesa, tunazisaka pesa. Pesa ndo kila kitu bhana heshima nayo inakuwepo pia
Unajua kuna mambo mengine hayahitaji uchawi wala elimu ya juu kuyafahamu
Pesa mwanaharamu ati
HakikaYes hii ni kwa mwanaume wa kweli.....
Hiyo ni mada nyingine inayojitegemea....Hahaa pesa nayo inaweza kukufanya zoazoa
Nyie wanaume nyie lol,Ndio maana tunawatumia na kuwaacha maana unajua kabisa amefata nini..