jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,970
- 1,396
Inakuwaje mwanaume mwenzio anakupigia simu anakwambia mambo vipi mpenzi?au shost au mtu wangu,au utasikia anakwmbia nimekumiss.....bila kujarisha huko katika mazingira gani hata usiku au huko na mama watoto?baada ya hapo utasikia see you later and take care..