Wanaume akili zao......

once a cheater always a cheater..........................hakuna cha kusema kuna unafuu..........................ukimsogezea mzee wako vvu yaani huoni umetelekeza watoto kiujumla na kuwaachia ukiwa.............
Kweli ni vema kuangalia boriti machoni petu kwanza kuliko kulalamikia wenzetu
 
<br />
<br />
sio kwamba vichwa vya wanaume havina akili,bali tuna vichwa viwili ambapo kimoja kikizidiwa kingine kinakuwa off line kufikiri.je wewe unafikiri ni kipi kat ya hivyo vichwa ndio source?

Kichwa cha juu mkuu ndiyo source
 
hazina akili!!!<br />
utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???<br />
mbona wanawake tunacheat ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................<br />
<br />
na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????<br />
<br />
ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!
<br />
<br />
Una watoto wangapi? Naomba uni PM kwa faida yako pekee!!
 
<b>Jestina</b>; <i>hazina akili!!! utaitelekezaje familia yako kwa penzi la kimada???<br />
<font color="#b22222">mbona wanawake tunacheat</font> ila hata siku moja hatutelekezi watoto tuliowazaa....???au kwa vile hamzai kwa uchungu kama sisi hivyo hamna uchungu na watoto wenu wenyewe???...................................<br />
<br />
na nyie baadhi ya wanawake huwa mnafikiria nini mpaka mnaamua kuwateka waume za watu kiasi cha kusahau familia zao? i mean watoto wa huyo baba wamekukosea nini mpaka uwanyan'ganye love and care ambayo wanadeserve kutoka kwa baba yao?????<br />
<br />
<font color="#ff0000">ningekuwa na uwezo ningewatandika wanaume na wanawake wote wenye tabia hii bakora</font>,sisi kama taifa kama tunataka jamii inayoendelea lazima tuanze kwenye ngazi ya familia!!!!broken family means broken nation hatuna ushirikiano katika kulisukuma gurudumu la maendeleo kisa wapuuzi wachache....tuchapane bakora kwa kweli kukumbushana wajibu wetu!<br />
<br />
<br />
</i><b>Na wewe unafaa kutandikwa bakora kwa kuwa cheater maana nayo siyo tabia njeama japo kuwa mdomoni mwako unasound kama kitu cha kawaida! Hauna unafuu kati yako na hayo makundi yenye tabia uliyoyahainisha hapo juu.

Asante mkuuu..
umejibu vema
 
Back
Top Bottom