Da Dinnah
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 504
- 181
Kweli ni vema kuangalia boriti machoni petu kwanza kuliko kulalamikia wenzetuonce a cheater always a cheater..........................hakuna cha kusema kuna unafuu..........................ukimsogezea mzee wako vvu yaani huoni umetelekeza watoto kiujumla na kuwaachia ukiwa.............