BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,557
- 2,853
- Thread starter
- #41
mkuu umesahau kuwa makanisani na misikitini tunaambiwa ujumbe kwa mipangilio mizuri na bila jazba na hatuifuati? sembuse hapa,ambapo hela ni zako na vimwana wa kumwaga,wachache watakaonielewa na kuchukua ushauri wangu.wengi watajuutra mda ukifika.Ni ujumbe mzuri Kwetu sisi vjana. Ila umeandika kwa jazba kidogo.
Ungetulia na Kupanga point zako vzuri huku ukitoa Ushauri kwa vijana nini cha kufanya pindi Mtu applies kwenye I humo mzuri anapotaka kujijenga, kwani kuna we zangu na Mimi hapa tunasomesha hadi wajukuu wa Mjomba wa Mama.