klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Jamani ni kweli hebu acheni ubishi.
post fasta fasta. Naona watu washaanza kufa na vijiba.
Huu utafiti waweza kuwa kweli kabisa,wanawake wanao-cheat ni wachache sana.Nimefurahi sana wamefanya utafiti wa namna hii.....:smile-big:
Umeona eeh?me loove this!.
mgongeeni jamaa senks basi, acheni uchoyo!