BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
Miaka mitatu iliyopita nilikutanisha kampuni mbili tofauti na wakakubaliana kufanya investment. Wakati project ikiendelea kampuni hizi zika form partnership na ikasajiliwa. Shares ziligawanywa kama ifuatavyo.
1. Kampuni A shares 45%
2. Kampuni B shares 45%
shares zilizobaki 10% wakanipa mimi. na ikawekwa clause kweye partnership deed inayosema " THA FOR THE PURPOSES OF THIS PARTNERHIP, BOTH PARTNERS ACKNOWLEDGE THAT MR SHETANI ONE HAS 10% SHARES" baada ya hapo partnership deed ikasajiliwa, main partners na advocate aliye draw wakatia sign na kuweka seal. Kila mtu akabaki na copy yake.
Main partners waliendelea kuweka pesa na sasa project imekwisha. Sasa main partners wamekaa wenyewe na kuamua kwamba mimi nitolewe na nilipwe pesa kama compesation ya introduction niliyofanya. Wakafikia uamuzi kwamba mimi si shareholder tena na nikatumiwa tu e-mail kwamba I am no longer the share holder.
1. Wamesha andika barua kwa suppliers kwamba mimi s share holder
2. Wamebadilisha funguo za ofisi
3. Wame ni disable kwenye e-mail
4. Sihusishwi kwenye share holders meeting
Naombeni wanasheria mlioko JF mnieleweshe cha kufanya, je nina uwezo wa kupinga maamuzi ya main partners?
Asanteni sana..
1. Kampuni A shares 45%
2. Kampuni B shares 45%
shares zilizobaki 10% wakanipa mimi. na ikawekwa clause kweye partnership deed inayosema " THA FOR THE PURPOSES OF THIS PARTNERHIP, BOTH PARTNERS ACKNOWLEDGE THAT MR SHETANI ONE HAS 10% SHARES" baada ya hapo partnership deed ikasajiliwa, main partners na advocate aliye draw wakatia sign na kuweka seal. Kila mtu akabaki na copy yake.
Main partners waliendelea kuweka pesa na sasa project imekwisha. Sasa main partners wamekaa wenyewe na kuamua kwamba mimi nitolewe na nilipwe pesa kama compesation ya introduction niliyofanya. Wakafikia uamuzi kwamba mimi si shareholder tena na nikatumiwa tu e-mail kwamba I am no longer the share holder.
1. Wamesha andika barua kwa suppliers kwamba mimi s share holder
2. Wamebadilisha funguo za ofisi
3. Wame ni disable kwenye e-mail
4. Sihusishwi kwenye share holders meeting
Naombeni wanasheria mlioko JF mnieleweshe cha kufanya, je nina uwezo wa kupinga maamuzi ya main partners?
Asanteni sana..