Wanatafuta umaarufu wa kimataifa kwa kukaa uwanjani ili eti prince chalesi awaone

Pepombili

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
439
58
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo
 
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo

Huo ni ukweli usiopingika.
 
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo

Kun.du la Nape linak.unya.......
 
Huo ni ukweli usiopingika.

@FaizaFoxy, : Dadangu, hata miie nimezaliwa na kulelewa ndani ya CCM. Nadhani tunahitaji mabadiliko. Sijui unafanya kazi serikalini, au wapi, Mie nafanya Private Sector, lakini baba yangu mzazi ni Waziri kwenye serikali ya Kikwete. Mama ni mtumishi wa serikali pia, lakini nakiri kwamba mabadiliko ni muhimu. Nimeondoka asubuhi na mapema kuja Arusha kujiunga na Wanaharakati na hali ambayo nimeikuta inasikitisha tamaa.

Hebu fikiria tuliowapa madaraka wanavyojilimbikizia mali kwa wizi. Hebu tazama raia wa kawaida wanavyoonewa. Hali inatisha kwenye mahospitali, vyuo vikuu. Nchimbi katoa wapi utajiri wake, Loawassa, Chenge, Kikwete, Msekwa, Wakina Kinje Mwiru, Wakina Abdala kigoda listi ni ndefu. Watu wa EPA wanadunda mitaani, Richomnd hawajulikani. Dowans ni mapepo, TCRA, UDA listi ni ndefu aliyewajibishwa? Hakuna. liumba kaenda jela kwa sababu ya Demu siyo Ufisadi. Nchi gani hii Dada yangu? unachotetea ni nini? Ardhi inauzwa, rasilimali zetu zinachotwa, Rais ni kuzurura tu cha maana anachokifanyia taifa HAKUNA.

Mahakama zetu hazina haki, polisi ni majambazi. Sasa tukimbilie wapi? siwezi kuiunga CCM mkono kwa maslahi ya familia yangu au Baba yangu. Ni heri tuishi maisha ya zamani ya umasikini badala ya kuishi kama watumwa. Sitaki nife leo na kuwaacha wanangu watumwa kwenye nchi yao. siwezi kamwe. Sijui unao watoto, ila kama unao, hebu niambie nchi watakayoishi bada ya miaka 10 CCM ikizidi kukaa madarakani ni nchi ya aina gani. Ukiwa na uwezo na nia, sidhani hata CCM ikiondoka utakosa kazi, lakini ukiwa mchafu, lazima utayaona mabadiliko kuwa machungu. Sijui hupo upande gani, nijuzi dadangu.

Sijui wewe dada yangu au mdogo wangu ila hiyo haijalishi mimi ni (33) watoto wawili wakiume 7 na wakike 9 ambao naomba Mungu wakue na kusoma katika nchi yenye matumaini. Kwa sasa hata kama familia yangu ina uwezo wa kifedha, uwezo tulionao ni wa muda mfupi, kwani tumezungukwa na wengi masikini, kwa maana hiyo hakuna amani. Siwezi kuishi na kuitakasa CCM ni kuishi kitumwa. Na inaniuma sana kukuona kila mara ukishabikia CCM wakati unajua fika kwamba CCM inayumbisha nchi yetu. nilijifungua Aghakan, wewe sijui ulijifungua India lakini pia kumbuka mwanamke mwezio amejifungua kwenye sakafu Temeke.

Siyo mshabiki wa CHADEMA ila hata kama mabadiliko yataletwa na chama kingine, mara 100 afadhali kuliko kubaki kwenye utawala wa CCM. Sitazami maslahi yangu, natazama Maslahi ya watoto wangu na vitukuu vyao. Samahani sana lakini huo ndio ukweli wa mambo, nadhani kwenye utetezi wako wa CCM fikiria ukweli wa mambo. Ukiniita muhasi, basi waasi watakuwa wengi sana ndani ya CCM. Kama vipi mjadala uendelee....
 
@FaizaFoxy, : Dadangu, hata miie nimezaliwa na kulelewa ndani ya CCM. Nadhani tunahitaji mabadiliko. Sijui unafanya kazi serikalini, au wapi, Mie nafanya Private Sector, lakini baba yangu mzazi ni Waziri kwenye serikali ya Kikwete. Mama ni mtumishi wa serikali pia, lakini nakiri kwamba mabadiliko ni muhimu. Nimeondoka asubuhi na mapema kuja Arusha kujiunga na Wanaharakati na hali ambayo nimeikuta inasikitisha tamaa.

Hebu fikiria tuliowapa madaraka wanavyojilimbikizia mali kwa wizi. Hebu tazama raia wa kawaida wanavyoonewa. Hali inatisha kwenye mahospitali, vyuo vikuu. Nchimbi katoa wapi utajiri wake, Loawassa, Chenge, Kikwete, Msekwa, Wakina Kinje Mwiru, Wakina Abdala kigoda listi ni ndefu. Watu wa EPA wanadunda mitaani, Richomnd hawajulikani. Dowans ni mapepo, TCRA, UDA listi ni ndefu aliyewajibishwa? Hakuna. liumba kaenda jela kwa sababu ya Demu siyo Ufisadi. Nchi gani hii Dada yangu? unachotetea ni nini? Ardhi inauzwa, rasilimali zetu zinachotwa, Rais ni kuzurura tu cha maana anachokifanyia taifa HAKUNA.

Mahakama zetu hazina haki, polisi ni majambazi. Sasa tukimbilie wapi? siwezi kuiunga CCM mkono kwa maslahi ya familia yangu au Baba yangu. Ni heri tuishi maisha ya zamani ya umasikini badala ya kuishi kama watumwa. Sitaki nife leo na kuwaacha wanangu watumwa kwenye nchi yao. siwezi kamwe. Sijui unao watoto, ila kama unao, hebu niambie nchi watakayoishi bada ya miaka 10 CCM ikizidi kukaa madarakani ni nchi ya aina gani. Ukiwa na uwezo na nia, sidhani hata CCM ikiondoka utakosa kazi, lakini ukiwa mchafu, lazima utayaona mabadiliko kuwa machungu. Sijui hupo upande gani, nijuzi dadangu.

Sijui wewe dada yangu au mdogo wangu ila hiyo haijalishi mimi ni (33) watoto wawili wakiume 7 na wakike 9 ambao naomba Mungu wakue na kusoma katika nchi yenye matumaini. Kwa sasa hata kama familia yangu ina uwezo wa kifedha, uwezo tulionao ni wa muda mfupi, kwani tumezungukwa na wengi masikini, kwa maana hiyo hakuna amani. Siwezi kuishi na kuitakasa CCM ni kuishi kitumwa. Na inaniuma sana kukuona kila mara ukishabikia CCM wakati unajua fika kwamba CCM inayumbisha nchi yetu. nilijifungua Aghakan, wewe sijui ulijifungua India lakini pia kumbuka mwanamke mwezio amejifungua kwenye sakafu Temeke.

Siyo mshabiki wa CHADEMA ila hata kama mabadiliko yataletwa na chama kingine, mara 100 afadhali kuliko kubaki kwenye utawala wa CCM. Sitazami maslahi yangu, natazama Maslahi ya watoto wangu na vitukuu vyao. Samahani sana lakini huo ndio ukweli wa mambo, nadhani kwenye utetezi wako wa CCM fikiria ukweli wa mambo. Ukiniita muhasi, basi waasi watakuwa wengi sana ndani ya CCM. Kama vipi mjadala uendelee....

Faiza hatakujibu. Yeye kwake CCM ni Kikwete. Akishaondoka Kikwete basi na yeye ataacha kuishabikia CCM.
 
Faiza hatakujibu. Yeye kwake CCM ni Kikwete. Akishaondoka Kikwete basi na yeye ataacha kuishabikia CCM.

kama 10% tu ya wanachama wa cdm mnaongea hivi, 90% ya wa tz wangelikwisha amua ccm basi, lakini nyinyi dini.............udini....dini......
 
Pepombili you are stupid. Wewe ndiye unayemwabudia huyo mtoto wa mwizi wa kike wa Uingereza. Kwani Charles akiwaona atawaongezea nini kama siyo mawazo yako mgando. Kumbaff sana.
 
kama 10% tu ya wanachama wa cdm mnaongea hivi, 90% ya wa tz wangelikwisha amua ccm basi, lakini nyinyi dini.............udini....dini......
Udini kauleta Kikwete. Na sasa kuna mavuvuzela wake akina Faiza hawana la kufanya ila kuvuvuzela tu.
 
@FaizaFoxy, : Dadangu, hata miie nimezaliwa na kulelewa ndani ya CCM. Nadhani tunahitaji mabadiliko. Sijui unafanya kazi serikalini, au wapi, Mie nafanya Private Sector, lakini baba yangu mzazi ni Waziri kwenye serikali ya Kikwete. Mama ni mtumishi wa serikali pia, lakini nakiri kwamba mabadiliko ni muhimu. Nimeondoka asubuhi na mapema kuja Arusha kujiunga na Wanaharakati na hali ambayo nimeikuta inasikitisha tamaa.

Hebu fikiria tuliowapa madaraka wanavyojilimbikizia mali kwa wizi. Hebu tazama raia wa kawaida wanavyoonewa. Hali inatisha kwenye mahospitali, vyuo vikuu. Nchimbi katoa wapi utajiri wake, Loawassa, Chenge, Kikwete, Msekwa, Wakina Kinje Mwiru, Wakina Abdala kigoda listi ni ndefu. Watu wa EPA wanadunda mitaani, Richomnd hawajulikani. Dowans ni mapepo, TCRA, UDA listi ni ndefu aliyewajibishwa? Hakuna. liumba kaenda jela kwa sababu ya Demu siyo Ufisadi. Nchi gani hii Dada yangu? unachotetea ni nini? Ardhi inauzwa, rasilimali zetu zinachotwa, Rais ni kuzurura tu cha maana anachokifanyia taifa HAKUNA.

Mahakama zetu hazina haki, polisi ni majambazi. Sasa tukimbilie wapi? siwezi kuiunga CCM mkono kwa maslahi ya familia yangu au Baba yangu. Ni heri tuishi maisha ya zamani ya umasikini badala ya kuishi kama watumwa. Sitaki nife leo na kuwaacha wanangu watumwa kwenye nchi yao. siwezi kamwe. Sijui unao watoto, ila kama unao, hebu niambie nchi watakayoishi bada ya miaka 10 CCM ikizidi kukaa madarakani ni nchi ya aina gani. Ukiwa na uwezo na nia, sidhani hata CCM ikiondoka utakosa kazi, lakini ukiwa mchafu, lazima utayaona mabadiliko kuwa machungu. Sijui hupo upande gani, nijuzi dadangu.

Sijui wewe dada yangu au mdogo wangu ila hiyo haijalishi mimi ni (33) watoto wawili wakiume 7 na wakike 9 ambao naomba Mungu wakue na kusoma katika nchi yenye matumaini. Kwa sasa hata kama familia yangu ina uwezo wa kifedha, uwezo tulionao ni wa muda mfupi, kwani tumezungukwa na wengi masikini, kwa maana hiyo hakuna amani. Siwezi kuishi na kuitakasa CCM ni kuishi kitumwa. Na inaniuma sana kukuona kila mara ukishabikia CCM wakati unajua fika kwamba CCM inayumbisha nchi yetu. nilijifungua Aghakan, wewe sijui ulijifungua India lakini pia kumbuka mwanamke mwezio amejifungua kwenye sakafu Temeke.

Siyo mshabiki wa CHADEMA ila hata kama mabadiliko yataletwa na chama kingine, mara 100 afadhali kuliko kubaki kwenye utawala wa CCM. Sitazami maslahi yangu, natazama Maslahi ya watoto wangu na vitukuu vyao. Samahani sana lakini huo ndio ukweli wa mambo, nadhani kwenye utetezi wako wa CCM fikiria ukweli wa mambo. Ukiniita muhasi, basi waasi watakuwa wengi sana ndani ya CCM. Kama vipi mjadala uendelee....

Nimeipenda hii dadaangu...
'Ukombozi/haki huletewi kitandani inadaiwa'...Dr Slaa
 
Pepombili na Faizafoxy sipendi niwaite "MASABURI" ila nawaomba kama hamjasoma muingie darasani maana hamjachelewa na iwapo mna "degrees" basi hivyo vyuo mlivyograduate vina walakini mkubwa sana. Nawaomba watu wenye mawazo kama UHURU1 waongezeke humu jamvini ili wawasaidie wenzetu wenye akili mgando kama "PEPOMBILI na FAIZAFOXY". Ingekuwa enzi za Joseph Stalin adhabu yenu ni "GAS CHAMBER" wala hakuna trial kabisa. Asanteni. Naomba kuwasilisha.
 
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo

Kumbe unapepo wawili? ndio maana ardguments zako zimepinda.
 
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo

Kweli vilaza wengi, na wewe ni miongoni mwao,mchumia tumbo mkubwa,msaliti usie na mana,masaburi we
 
Angalieni threads zingine ni za mashetani si lazima kuzitolea maoni mtapoteza uwezo wa kufikiri .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom