Pepombili
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 439
- 58
hii ya mwaka huu ni kali sana wamesikia prince anakuja arusha wakaamuwa kujiweka uwanjani eti wasikike maana jamaa alipewa dhamana akagoma kuichukuwa kumbe lengo lake lilikuwa abaki mahabusu ili wenziwe wakae uwanjani prince chalesi awaone kesho akienda arusha na kwa vile wao wako tayari kupokea ile kauli ya devidi kameruni ya kale kamchezo