Habari Leo
CHAMA cha Wanataaluma Wakristo Tanzania (CPT) kimekiri kutoa waraka ambao wenyewe wameuita tafakari ukikishambulia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukituhumu kuwa ndicho kikwazo cha ukuaji demokrasia nchini.
Kuhusu waraka upi ulikuwa positive inategemea mind yako iko free kiasi gani katika kufikiria bila kubase ktk imani yako. Waraka uliofata ulitumia waraka uliopita as background. Point ni kuwa hakuna haja ya kuficha identity kwa watu wenye fikra finyu ndo watahamisha hoja kwasababu wao wakisikia jina la dini nyingine kwa chochote kile tayari kwao ni kama danger alarm
RAY B, sina shaka unajua identity yaweza tumika kuangamiza taifa. hivi kusema wanataaluma wakristo, mbona watu hatuijui. halafu imeibuka tu. ni kikundiambacho kilianzia kati ya makanisani au katika fellowship na kwa vile ni cha wakristo lazima watakuwa wa madhehebu fulani tu; uhakika nilio nao wakatoliki hwamo kama wanabisha waambie CPT waweke humu JF katiba yao na mwongozo, waweke na taarifa zao zote na ni vema wakatuwekea na orodha ya wanachama wao kwa maana wanawafahamu kama JF ilivyo kila mmoja anajifahamu kuwa uanachama wake ni wa rank ipi, mie leo nimepata kuwa senior member. nao watupe orodha, walianzishwa lini na malengo ni yapi. itakuwa njema wakiupload costitution na memoranda of association including certificate of registration isije tukawa wana JF tunajadili mambo kumbe watu wenyewe wako wawili (aliyejitambulisha mwenyekiti na mke wake. hapo wakifanya hayo JF tutakuwa right. si kila kitu cha kutuweka attention wakubwa.
kwa jinsi hii anayesema hapa kuna udini na tutaenda kwenye udhehebu ana haki kwa maana waliopo humo kwenye hii NGO a.k.a CPT ni wakristo pekee tena wa baadhi tu ya madhehebu. ieleweke jamani
waraka wa wakatoliki ulikuwa positive na haukuwa na ubaguzi wowote kwa raia yoyote. Ila walioupokea ndugu zetu waislamu waliupokea na kuandika wao ambao hakuwa na maslahi ya taifa. Issue hapa ni wisdom zaidi ambayo kaka sisi wakristo tunapaswa kuwa nayo. sisi wote tunajua waislamu walivyo, na kuishi na hawa ndugu inahitaji hekima. Tukianza hizi stori za dini na kila mmoja aseme kwa mgongo wa dini, basi tuwe tayari kila kitu kwenda kwa mgongo huo huo.
Kuna mkristo ataanzisha kampuni na kuajiri wakristo watupu na kisingizo chake, ni kuwa hapaswi kuficha identity na imani yake, hali itakuwa the same kwa dini zingine.
Hao wanataaluma wangekaa chini kama kweli ni intellectua na wangefikia tamati huwezi ukataja ubaya wa CCM bila kuwahusisha wakristo na waislamu nchi hii! matatizo ya CCM na serikali yake yanaanzia kwenye hizi dini, ambazo zinakumbatia hawa mafisadi, leo hii unasema CCM ,mbaya, then unasema Nyerere awe baba mtakatifu
Matatizo ya CCM yameanza siku nyingi sana , wakristo na waislamu kuwakumbatia hawa mafisadi hakujaanza leo, free thinking za waumini wa hizi dini mbili haipo!
I will feel good kama leo hii hao wanataaluma wakapambana na wakristo wawe huru katika kuwazaa na kuchallenge(KUANZA MAKANISANI kwenye udiketata wa kila aina, si RC mpaka kwa akina Kakobe). It does not make sense kusema CCM wabovu wakati mafisadi akina EL, ndiyo wanaungwa mkono na akina Malasusa.
CPT should start to clean church mbalo limeoza na ni chafu, na usafi unaanzia makanisani kwenda nje , siyo CCM kwenda makanisani.
We have weak nation because we have weak churches we have weak churches because we have weak families!
Hao hao sio ndio waliosema JK chaguo la Mungu kwani tumesahu, kunzia RC mpaka Pentecost.
Nyerere alisema huwa hatuulizani dini wala makabila, watanzania sisi, dini wekeni kapuni kwanza.
CCM wachafu, tuseme kema watanzania CCM wachafu ondokeni!!! siyo niseme kama mkristo
Teh teh teh. Mkuu una mantiki lakini kumbuka ccm ni kisiki cha mpingo, hekima kwao haifai kitu. Hawa jamaa dozi yao ni rungu tu. Tena lele la kiafande lenye minundu.
Nakubaliana na wewe kama unataka rungu basi iwe;
moja
Hilo rungu lingeanzia na kuwatenga kwenye nyumba za ibada!
au
Pili
hao wataaluma ningewaona wazuri kama wangesema, wakristo wote hawatapiga kura wala kujihusisha na lolote lile la kisiasa mpaka
1. Katiba ibadilishwe
2. mafisadi wafunguliwe mashtaka
3. Rais apnguziwe madaraka'
4. Serikali ya mseto
Leo kanisa likisimamia haya na kufanikisha, ndio tumeula, nilitoa ule suahrui kulinga na wao walivyoutoa.
kama vile chama cha waislamu wenye msimamo mkali, bakwata, hizborallah, hamas au vipi?wanataalum au udini mtupu..blah blah ...anzisheni chama cha siasa..au jiungeni na CCJ maana tunafahamu imetokana na waraka wenu ...msisumbue watu ...hakuna jipya kutoka kwa wakatoliki zaidi ya kupenda kupendelewa na kupenda kupita kutawala watu wenginee.. ...tunafahamu mmeshaanza kampeni zenu kanisani lakini.hadangayika mtu..siku hizi..
wanataalum au udini mtupu..blah blah ...anzisheni chama cha siasa..au jiungeni na CCJ maana tunafahamu imetokana na waraka wenu ...msisumbue watu ...hakuna jipya kutoka kwa wakatoliki zaidi ya kupenda kupendelewa na kupenda kupita kutawala watu wenginee.. ...tunafahamu mmeshaanza kampeni zenu kanisani lakini.hadangayika mtu..siku hizi..
Nakubaliana na wewe kama unataka rungu basi iwe;
moja
Hilo rungu lingeanzia na kuwatenga kwenye nyumba za ibada!
au
Pili
hao wataaluma ningewaona wazuri kama wangesema, wakristo wote hawatapiga kura wala kujihusisha na lolote lile la kisiasa mpaka
1. Katiba ibadilishwe
2. mafisadi wafunguliwe mashtaka
3. Rais apnguziwe madaraka'
4. Serikali ya mseto
Leo kanisa likisimamia haya na kufanikisha, ndio tumeula, nilitoa ule suahrui kulinga na wao walivyoutoa.
Bahati mbaya sana chama hakiendi ibadani ila tu wafuasi wa hicho chama ndio wanaingia kwenye nyumba za ibada. Sasa wakuu wa dini hawana bifu na mtu binafsi ila wana usongo na hili limfumo kandamizi.
hii ya kutafuta asilimia ya viongozi na kuibuka eti ni 75% ni ujenzi wa chuki, hivi kweli unachosema au unachojua kiongozi maana yake ni rais, waziri, mbunge na pengine mkuu wa mkoa. acha unafiki, acha chokochoko, acha uzandiki, acha majungu jenga nchi. sorry