Wanasiasa wa leo na UZUZU wa kuitwa DR XYZ, mbona Nyerere hakuitwa?

Chal

Senior Member
Oct 7, 2010
128
52
Wakuu,
kwanza salaam!

Chuo kikuu cha Dar es salaam kama vyuo vingine katika utaratibu wake wa kutoa degree za heshima waliwahi kumtunuku Honorary degree Mwl Julius Kambarage Nyerere mwaka 1985 lakini tangu wakati huo sijaona mahali Mwl akiwa addressed kwa jina la Dr J.K.Nyerere

Mwaka 2006 walimtunuku degree ya heshima raisi mstaafu B.W Mkapa lakini naye pia media hazimu adress kama Dr B.W.Mkapa ila huyu mwenzetu kupewa tu videgree vya heshima tayari watu wamekomalia Dr, Dr. Ina raha gani hii doctorial degree ya kupewa?

 
Hapa kuna tatizo pande mbili. Mosi anayekubali kuitwa dk wakati hata kwenye chumba cha dessertation haki hajawahi kukanyaga kuulizwa maswali hadi mtu unakunywa maji hakijui. Pili ni wale wanamuita Daktari wakati wakijua hana sifa au wao hawajui chochote kutokana na kuwa vihiyo au kujipendekeza. Sitataja jina. Kuna blog moja inapenda kujipendekeza kwa mfano kwa Kikwete kwa kumuita dokta. Kwa wanaopenda utani wanaweza kusoma safu yangu kwenye Tanzania Daima ambapo nimeamua kuwaita wanywa kahawa wote madaktari ili kuwafanya wahusika lau waone aibu. Hawa hawana tofauti na wafanya mazingaombwe au waganga wa kienyeji wasiojua hata kusoma wanaojiita madaktari. Ni aibu iliyoje?
 
​* Hizi Articles J.K Nyerere aliitwa Dr. kwahiyo futa matatizo yako


clear.gif
clear.gif
p_nyerere.jpg

clear.gif

© FZS
clear.gif
Dr. Julius Kambarage Nyerere
by Dr. Markus Borner, Regional Representative of the Frankfurt Zoological Society"The survival of our wildlife is a matter of grave concern to all of us in Africa. These wild creatures amid the wild places they inhabit are not only important as a source of wonder and inspiration, but are an integral part of our natural resources and our future livelihood and well being.
In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance.
The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to co-operate with us in this important task - the success or failure of which not only affects the continent of Africa but the rest of the world as well."

Julius K. Nyerere, Arusha Manifesto, 1961








ANOTHER ONE

The past recipients of the Award are:
1995Dr. Julius K. Nyerere (Former President of Tanzania)
1996Dr. A. T. Ariyaratne (Sri Lankan social scientist)
1997Dr. Gerhard Fischer (Former German diplomat)
1998Ramakrishna Mission
1999Shri Murlidhar Devidas Amte (Baba Amte)
2000Dr. Nelson Mandela and Grameen Bank, Bangladesh


shah12.jpg


In 1982 Shah Industries had 302 workers on its payroll, 55 of them with disabilities. Business has not been so good recently because of heavy government taxes: Shah still employs 26, of whom 15 are disabled.

His contributions to the local community were recognised in 1995 by the award of the Order of the Arusha Declaration First Class, presented in person by President Mwinyi.
Shah Industries Ltd. has been manufacturing handicrafts over 50 years. Here in the picture, Father of the Nation, the late President Dr. Julius K. Nyerere, visited Shah Industries on 14 October 1977. The President admired leather work, with Mr. Himat Shah and Mr. Devchand Nathu Shah (on Nyerere's right) looking on.

SHAH INDUSTRIES LIMITED
 
Wakuu,
kwanza salaam!

Chuo kikuu cha Dar es salaam kama vyuo vingine katika utaratibu wake wa kutoa degree za heshima waliwahi kumtunuku Honorary degree Mwl Julius Kambarage Nyerere mwaka 1985 lakini tangu wakati huo sijaona mahali Mwl akiwa addressed kwa jina la Dr J.K.Nyerere

Mwaka 2006 walimtunuku degree ya heshima raisi mstaafu B.W Mkapa lakini naye pia media hazimu adress kama Dr B.W.Mkapa ila huyu mwenzetu kupewa tu videgree vya heshima tayari watu wamekomalia Dr, Dr. Ina raha gani hii doctorial degree ya kupewa?


​* Hizi Articles J.K Nyerere aliitwa Dr. kwahiyo futa matatizo yako


clear.gif
clear.gif
p_nyerere.jpg

clear.gif

© FZS
clear.gif
Dr. Julius Kambarage Nyerere
by Dr. Markus Borner, Regional Representative of the Frankfurt Zoological Society"The survival of our wildlife is a matter of grave concern to all of us in Africa. These wild creatures amid the wild places they inhabit are not only important as a source of wonder and inspiration, but are an integral part of our natural resources and our future livelihood and well being.
In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that we will do everything in our power to make sure that our children's grand-children will be able to enjoy this rich and precious inheritance.
The conservation of wildlife and wild places calls for specialist knowledge, trained manpower and money, and we look to other nations to co-operate with us in this important task - the success or failure of which not only affects the continent of Africa but the rest of the world as well."

Julius K. Nyerere, Arusha Manifesto, 1961








ANOTHER ONE

The past recipients of the Award are:
1995Dr. Julius K. Nyerere (Former President of Tanzania)
1996Dr. A. T. Ariyaratne (Sri Lankan social scientist)
1997Dr. Gerhard Fischer (Former German diplomat)
1998Ramakrishna Mission
1999Shri Murlidhar Devidas Amte (Baba Amte)
2000Dr. Nelson Mandela and Grameen Bank, Bangladesh


shah12.jpg


In 1982 Shah Industries had 302 workers on its payroll, 55 of them with disabilities. Business has not been so good recently because of heavy government taxes: Shah still employs 26, of whom 15 are disabled.

His contributions to the local community were recognised in 1995 by the award of the Order of the Arusha Declaration First Class, presented in person by President Mwinyi.
Shah Industries Ltd. has been manufacturing handicrafts over 50 years. Here in the picture, Father of the Nation, the late President Dr. Julius K. Nyerere, visited Shah Industries on 14 October 1977. The President admired leather work, with Mr. Himat Shah and Mr. Devchand Nathu Shah (on Nyerere's right) looking on.

SHAH INDUSTRIES LIMITED
 
1.Dr Makongoro Mahanga
2.Dr Marry Nagu
3.Dr Chitanda(Cleptomaniac)
4.Dr Emmanuel Nchimbi
5.Dr Lyatonga Mrema
6.Dr J.K Kikwete
7.Dr Reginald Mengi
8.............................
 
1.Dr Makongoro Mahanga
2.Dr Marry Nagu
3.Dr Chitanda(Cleptomaniac)
4.Dr Emmanuel Nchimbi
5.Dr Lyatonga Mrema
6.Dr J.K Kikwete
7.Dr Reginald Mengi
8.............................

Degree za vibarazani!!na KIKWETE,MREMA na NCHIMBI nao madokta?kazi ipo
 
Hakuna kitu kibaya katika maisha kama kutumia njia ya mkato kupata maendeleo ya kielimu. Hii inaua Hali ya kujituma kupata maendeleo kwa watoto na vijana walio shule. Inajenga mazingira ya kila kitu kinawezekana bila kujenga msingi wa kupata kila kitu kwa utaratibu na wakati. Hii ni dhambi kubwa ambayo gharama yake kwa jamii yetu tutailipia kwa muda mrefu
 
Nyerere ni Nyerere Na Kikwete ni Kikwete. Hivi ni lazima kila alofanya Nyerere Na wengine wafanye? Kwani ni MUNGU wenu?
 
Kuna wakati rafiki yangu Prof. Chachage (R.I.P.) alipopata degree ya PhD nilimpongeza kwa hilo. Akaniambia, "Asante, lakini sio kitu maana siku hizi kuna Dr. Nyamwhicho, Prof. Vulata na wengine wengi.'!

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk 2
 
Wakuu,
kwanza salaam!

Chuo kikuu cha Dar es salaam kama vyuo vingine katika utaratibu wake wa kutoa degree za heshima waliwahi kumtunuku Honorary degree Mwl Julius Kambarage Nyerere mwaka 1985 lakini tangu wakati huo sijaona mahali Mwl akiwa addressed kwa jina la Dr J.K.Nyerere

Mwaka 2006 walimtunuku degree ya heshima raisi mstaafu B.W Mkapa lakini naye pia media hazimu adress kama Dr B.W.Mkapa ila huyu mwenzetu kupewa tu videgree vya heshima tayari watu wamekomalia Dr, Dr. Ina raha gani hii doctorial degree ya kupewa?


Hujui ukisemacho mkuu Nyerere kaitwa sana Dr.
 
huu uzi unafanana na wa kombajr,mi naona kuitwa au kujiita dr si dhambi kwani nyerere alifanya mazuri tu kiasi kwamba kila kitu tummuige?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom