Na wewe huwe na busara, huwezi kuquote uzi mzima halafu unareply mistari miwili hujui unawapa shida wanaotumia simu unnecessary? kwa nini usimmention Mzee Mwanakijiji??
Kwa nini unatumia simu? Hilo sio tatizo langu ni lako.
Last edited by a moderator: