Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
imefika wakati wasomi, wanasiasa machachari na wanaharakati na wale wenye uchungu na kisiwa cha zanzibar kuangalia swala zima la baraza la mitihani la taifa.
Elimu ndio msingi wa maisha, elimu ndio nguzo kuu ya nchi.
Muundo wa baraza la mitihani unatia shaka na unaweza ukawa ndio source ya wanafunzi wa znz kufanya vibaya.
Licha ya kuonekana kuwa la muungano. lkn sijwahi kusikia mzanzibar kushika nafasi kubwa ndani ya baraza hilo.
Matokeo mabaya kwa wanz mitihani inayosimamiwa na NECTA inanifanya niwashauri wanasiasa na wanaharakati wa znz kuangalia tena swala hili na kuondolewa ktk swalazima la muungano.
kwani inakuaje mitihani inayosimamiwa na NECTA wazanzibar ndio wanaongoza kwa kufeli huku mitihani kama hivyo ikisimamiwa na NACTE waznz hufaulu vizuri?
LKN inakuaje wanafunzi wa znz wanaosoma vyuo vikuu huwa wazuri zaidi kuliko watz bara?
Mfano znz sasa inavyuo vikuu 4. Licha ya wahadhiri wengi kutoka tzbara kama sheria inavyotaka. lkn vyuo hivyo ndivyo vilivyochini kwa wanafunzi kufeli.
NACTE wana ajenda ya siri na znz?
Elimu ndio msingi wa maisha, elimu ndio nguzo kuu ya nchi.
Muundo wa baraza la mitihani unatia shaka na unaweza ukawa ndio source ya wanafunzi wa znz kufanya vibaya.
Licha ya kuonekana kuwa la muungano. lkn sijwahi kusikia mzanzibar kushika nafasi kubwa ndani ya baraza hilo.
Matokeo mabaya kwa wanz mitihani inayosimamiwa na NECTA inanifanya niwashauri wanasiasa na wanaharakati wa znz kuangalia tena swala hili na kuondolewa ktk swalazima la muungano.
kwani inakuaje mitihani inayosimamiwa na NECTA wazanzibar ndio wanaongoza kwa kufeli huku mitihani kama hivyo ikisimamiwa na NACTE waznz hufaulu vizuri?
LKN inakuaje wanafunzi wa znz wanaosoma vyuo vikuu huwa wazuri zaidi kuliko watz bara?
Mfano znz sasa inavyuo vikuu 4. Licha ya wahadhiri wengi kutoka tzbara kama sheria inavyotaka. lkn vyuo hivyo ndivyo vilivyochini kwa wanafunzi kufeli.
NACTE wana ajenda ya siri na znz?