Ni kweli kabisa hiyo inaleta mantiki ukizingatia idadi za watu wa Tanganyika na wale wa Zanzibar. Sasa inakuwa vizuri maoni kutoka Zanzibar yapewe kipaumbele chake kwani hiyo ni nchi kamili na yasichukuliwe kama mkoa au wilaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.