Napata shida shida sana kuelewa kwamba inakuwaje serikali inapoteza kesi nyingi sana ambazo inafungua na kusimamiwa na wanasheria wake? Achilia mbali hizi za kifisadi angalia kesi za akina Zombe, Mungai na sasa Mwakalebela!
Sisemi kwamba nataka hawa jamaa wafungwe, la hasha! issue ni kwamba kesi hizi (mfano ya Mungai na Mwakalebela) eti zimefutwa kwa sababu kuna vipengele vya sheria havikufuatwa wakati wa kufungua kesi..
Haiingii akilini, ni vipengele gani ambavyo wanasheria binafsi wanavijua lakini nyinyi wa serikali hamvijui?? Hii ni aibu kubwa kwenye tasnia nzima ya sheria!
Sijui wadau wengine mnalionaje hili...Mi nahisi ni hujuma inaofanywa na hawa watu!
Naomba kuwasilisha.
Sisemi kwamba nataka hawa jamaa wafungwe, la hasha! issue ni kwamba kesi hizi (mfano ya Mungai na Mwakalebela) eti zimefutwa kwa sababu kuna vipengele vya sheria havikufuatwa wakati wa kufungua kesi..
Haiingii akilini, ni vipengele gani ambavyo wanasheria binafsi wanavijua lakini nyinyi wa serikali hamvijui?? Hii ni aibu kubwa kwenye tasnia nzima ya sheria!
Sijui wadau wengine mnalionaje hili...Mi nahisi ni hujuma inaofanywa na hawa watu!
Naomba kuwasilisha.
Last edited by a moderator: