mbombongafu
Member
- Nov 1, 2010
- 61
- 3
wanajaribu kutenegneza mazingira wasichoke pale ndio maana wanaimba na kujiburudisha pale wakati wa kutwanga maana sisi kijijini tunavuna mpunga kwa kwenda mbele enzi hizo kulikuwa machine za kusaga utata kwa hiyo ili mle ubwabwa lazima mpunga utwangwe ilikuwa burudani kinu kimzungukwa na masista kama watatu au wawili utafurahi mwenyewe