Joeli
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 4,941
- 3,402
Usimuache mpenzi wako kisa Umesikia stori fulani kumhusu kutoka kwa mtu ambaye huna hata uhakika kama stori anayosema ameiona kwa macho au nae amesimuliwa,si ajabu aliyemsimulia naye alisimuliwa na aliyesimuliwa na mtu aliyesimuliwa na msimulizi aliyesimuliwa.
kabla hujafanya maamuzi kuwa na hakika unachotaka kukifanya ni sahihi na una ushahidi mgumu(solid evidence) kumtia hatiani mtuhumiwa, badala ya kujump into conclusion.
kabla hujafanya maamuzi yako just know that kuna watu kazi yao ni kuongea kuhusu watu fulani ili kuharibu. Sometimes hata marafiki zetu wa karibu unakuta anaumia kuona mnapendana na hutafuta njia ya kuwaachanisha, unakuta yeye Mapenzi yalishamshinda siku nyingi,sasa kazi yake imebaki kuharibu ya watu wanaopendana,kwa sababu wao kupenda kwao ni msamiati.Be sure before you break up kabla hujajuta baadae....
nayasema haya sababu ilishanitokea kwenye moja ya unsuccesiful relationship zangu, msichana aliamua kuachana na mimi kisa kaambiwa mimi muhuni nna wanawake wengi pamoja na kuhakikishia penzi langu la dhati kwake hiyo haikutosha kushinda pressure ya waliomjaza maneno ya kichochezi kuishia kuvunjika kwa uhusiano wangu...
kabla hujafanya maamuzi kuwa na hakika unachotaka kukifanya ni sahihi na una ushahidi mgumu(solid evidence) kumtia hatiani mtuhumiwa, badala ya kujump into conclusion.
kabla hujafanya maamuzi yako just know that kuna watu kazi yao ni kuongea kuhusu watu fulani ili kuharibu. Sometimes hata marafiki zetu wa karibu unakuta anaumia kuona mnapendana na hutafuta njia ya kuwaachanisha, unakuta yeye Mapenzi yalishamshinda siku nyingi,sasa kazi yake imebaki kuharibu ya watu wanaopendana,kwa sababu wao kupenda kwao ni msamiati.Be sure before you break up kabla hujajuta baadae....
nayasema haya sababu ilishanitokea kwenye moja ya unsuccesiful relationship zangu, msichana aliamua kuachana na mimi kisa kaambiwa mimi muhuni nna wanawake wengi pamoja na kuhakikishia penzi langu la dhati kwake hiyo haikutosha kushinda pressure ya waliomjaza maneno ya kichochezi kuishia kuvunjika kwa uhusiano wangu...