rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wazee naombeni mnisaidie kwenye hili, passport zinachukuliwa sana na wageni hasa kutoka Burundi, Rwanda, Kongo, Kenya, Nigeria, Ghana nk.
Hivi jamani mtanzania atathubutu kuuza passport ya taifa lake? Hana uchungu au wivu na taifa lake? Nilikuwa Tunduma last week Wanaigeria waliovushwa pale na passport zetu hawahesabikii.
Hivi jamani hao wanaofanya kazi ya kutoa passport ni wenzetu, au nao wageni?
Mbona mnanichanganya?
Hivi jamani mtanzania atathubutu kuuza passport ya taifa lake? Hana uchungu au wivu na taifa lake? Nilikuwa Tunduma last week Wanaigeria waliovushwa pale na passport zetu hawahesabikii.
Hivi jamani hao wanaofanya kazi ya kutoa passport ni wenzetu, au nao wageni?
Mbona mnanichanganya?