Wazee wa hekima wako kimya kabisa. Nyie hangaikeni, mtajapigwa na bumbuazi.
hey hawahwa akina Rama wanaolimboka watu walikuwa wanafanya uchunguzi wa vijana?????????mwe twafwaaa.
dr. magufuli Anafaa kuwa waziri mkuu kwa mtazamo wangu.
Kwa hali inayoendelea hivi Tanzania inatia shaka bado miaka mitatu kufika uchaguzi mkuu wa uraisi na wabunge 2015, lakini kila kukicha mapya yanajitokeza kwa watu kutaganza nia ya watu kujitangazia kuwa na sifa za kuutaka uraisi, mmoja alisema anasubiri Mungu amuoteshe na kudhihirisha akasema ana maadui 11 ambao 2016 mara baada ya kuoteshwa watakibiria kenya, hiyo inaonyesha dhamira iliyojificha na ulipaji visasi, bado kuna magwinji mengine ambayo yalishaanza harakati zamani kama EL, SS, FS, ambao wanamitandao ndani ya chama chao cha chukua chako mapema.....
Hapo kwenye rangi ya Mabwepande, amekahidi amri ya mahakama kitendo kilichomsababishia Gamba mwenza kuwa na wakati mgumu kwenye kesi ya uchaguzi mdogo jimbo la Igunga kesi inayoendelea huko wilayani Nzega....
me naona magufuli anafaa kua prime minister..Kwa hali inayoendelea hivi Tanzania inatia shaka bado miaka mitatu kufika uchaguzi mkuu wa uraisi na wabunge 2015, lakini kila kukicha mapya yanajitokeza kwa watu kutaganza nia ya watu kujitangazia kuwa na sifa za kuutaka uraisi, mmoja alisema anasubiri Mungu amuoteshe na kudhihirisha akasema ana maadui 11 ambao 2016 mara baada ya kuoteshwa watakibiria kenya, hiyo inaonyesha dhamira iliyojificha na ulipaji visasi, bado kuna magwinji mengine ambayo yalishaanza harakati zamani kama EL, SS, FS, ambao wanamitandao ndani ya chama chao cha chukua chako mapema.
Ukija kwa upande wa CDM nako mambo yameanza kupamba moto mara nina sifa za kuwa amri jeshi mkuu wa nchi ili hali hata familia hana , mara kiongozi mkuu wa chama anataka, mara mheshimiwa Dr. Slaa, vile vile inetokea wengine wanasema tangu uhuru hatujatoa raisi wakati tuna uwezo, mara tunataka mwislam.
Hizi sio ishara nzuri vile vile kiongozi ambaye nimzuri sio lazima ajipe sifa mwenyewe kuwa anaweza kusema hivyo vyote alivyokuwa anafanya ni unafiki , vile kiongozi kuweza kumpita na kusema ni mwadilifu na mzalendo lazima awe amefanya kazi na kudhibitisha hilo bila shaka na sio kuongea na kukosoa tu, mfano bunge lililopita kilango, mwakembe, ole sendeka, sita tulifikiri ni wazalendo wanatetea watanzania lakini leo hii sio, vile vile zito kasi yake sio ile.
kwa hali hiyo tusidanganyike na porojo za kuwa naweza ili hali ni njaa tu. Kwa hali tuliyonayo na kuangalia ukomavu wa siasa Dr. Magufuli anafaa kuwa raisi ila sio kupitia CCM. Anasifa na amedhihilisha kwa kuwa na misimamo akiwa serikalini , sio mdini, mkanda wala mjenga mitandao.
Mzee Mwanakijiji anafaa kuongoza Tanzania 2015 ainuke na agombee
ninichojua kiongozi mzuri hapimwi kwa uwezo wake wa kujenga hoja majukwaani...ule utaratibu wa zamani wa usalama wa taifa kufuatilia nyendo za vijana tangu wakiwa mashuleni sijui uliishia wapi?? zamani ilikua ukionekana una mashiko kwa jamii kulikua na watu wana trace background yako toka kijijini kwenu , familia yako, umesoma wapi na mambo kama hayo NDIO KILIKUA KIPIMO KIZURI CHA UONGOZI