Ballot
Member
- Jan 4, 2012
- 39
- 12
yaani naangalia kupitia tv jinsi watu wanaojiita wana ccm walivyokaa pale kirumba mwanza yaani jamani jamaa wamechoka mbaya'yaani sura zinaonyesha jinsi wasivyo na matumaini''
Nahisi hawajui nini hasa kinaendelea ndani ya taifa hili wakati vijana wenzao watoto wa mafisadi wanavyopewa ulaji na wao wakiendelea kukonda na kupauka
Nahisi hawajui nini hasa kinaendelea ndani ya taifa hili wakati vijana wenzao watoto wa mafisadi wanavyopewa ulaji na wao wakiendelea kukonda na kupauka