Wanaotumia usafiri wa anga hapa Tanzania soma hapa

ATCL wameshusha bei, Fly540 wameshusha bei zaidi, pale ofisini kwao Mwanza wameweka bango kubwa mbele ya lango la kuingilia ofisini wanajinadi Mwz-Dar-Mwz Tshs 189,000/=, tlakini kikubwa hapa ni kwamba ukienda pale ofisini kwao kukata tiketi mara zote hutakaa upate hiyo bei ya promotion, hiyo kitu ni kama invitation to treat. Mtaalam mmoja aliniambia hiyo bei wanayojidai nayo ni offer ya seat kama mbili tatu tu, na mara zote ukienda pale unaambiwa za promotion zimeisha.
 
Air Tanzania ya sasa sio ile tulio izoea yaani ni ndege ya uhakika.
mapilot wako fit sio wale walio idundisha ile ndege iliyolala pale mwanza eti hali ya hewa.

nakubaliana na wewe kila point......ila unapokuja kwa suala la pilot eti walidundisha ndege mwanza na kulala pale eti hali ya hewa mbaya sikubaliani na wewe...
Ile ni proffesional,pilot hawezi lazimisha safari hata kama kuna kitu kidogo hakijaenda sawa,na katika airline industry hakuna pressure kubwa kama weather...
so sio vizuri kusema pilots like that...
 
tuanze kuipanda mara moja ndipo tutakapokuza shirika letu. kumbukeni hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Wanajamii tuliunge mkono shirika la ndege la Tanzania kwa kupanda ndege zake (yake) sasa hivi precission na 540 wameshusha bei baada ya kuona wings of Kilimanjaro wanatozo ndogo sasa siku zote walikuwa wapi kushusha gharama mpaka wakafanya usafiri wa ndege kama anasa.

Wito kwa watanzania wote wana jambo forum wote tuichangie air Tanzania.

Kwanza ndege yao ni nzuri na ya uhakika tuinue shirika letu linalo endeshwa kwa kodi zetu ili lifanikiwe.

Chizi kajitahidi sana ilikuwa aibu sana kuwa hatuna ndege kubwa.

Ndege zingine zinachangiwa lakini uzalendo hakuna so tuijaze ndege yetu kwanza kisha ndio twende kwa hao wengine.






Sina imani nao kwani ndege zao nyingi zimeoza (huko zilikotoka zilikuwa hazitumiki), na kuchakachuliwa! Ya nini kujitakia kifo.
 
Back
Top Bottom