mjomba wa kale
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 266
- 56
Tutafanya hivyo mkuu chetu ni chetu hata kikiwa vipi.
Air Tanzania ya sasa sio ile tulio izoea yaani ni ndege ya uhakika.
mapilot wako fit sio wale walio idundisha ile ndege iliyolala pale mwanza eti hali ya hewa.
Wanajamii tuliunge mkono shirika la ndege la Tanzania kwa kupanda ndege zake (yake) sasa hivi precission na 540 wameshusha bei baada ya kuona wings of Kilimanjaro wanatozo ndogo sasa siku zote walikuwa wapi kushusha gharama mpaka wakafanya usafiri wa ndege kama anasa.
Wito kwa watanzania wote wana jambo forum wote tuichangie air Tanzania.
Kwanza ndege yao ni nzuri na ya uhakika tuinue shirika letu linalo endeshwa kwa kodi zetu ili lifanikiwe.
Chizi kajitahidi sana ilikuwa aibu sana kuwa hatuna ndege kubwa.
Ndege zingine zinachangiwa lakini uzalendo hakuna so tuijaze ndege yetu kwanza kisha ndio twende kwa hao wengine.