mtunzasiri
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 1,446
- 985
Kwa style hiyo ya kidikteta uchwara staki hata kuhusishwa na yeyote mwenye kuelekea ikulu kidikteta uchwara namna hiyo,Endeleeni na ngonjera za demokras ila Ikulu mtaendelea kuisikia to.
fanya yote mazuri yenye maendeleo huku ukiwapa wananchi matumaini ya maisha yao salama na huru kabisa.
Lakini kinyume chake hapana maana hata mabepari na madikteta ya wakati wa utumwa Africa yalileta maendeleo pia tena sehemu nyingine mpaka leo maendeleo yao yanaonekana , sasa vipi tuwarudishe mabepari waendelee kutatawala kisa tunataka kuendelea?
Nasema hapana No. Fanya mazuri yenye neema kwa wananchi na watu wote, pia watu hao wape uhuru wao bila kunyanganya hata punje ya uhuru wa kujieleza kifkra kukutana na kufanya siasa sawa kwa wote vinginevyo wewe dikteta uchwara tuu.
Tusisahau enzi ya kuminya maoni na uhuru wa watu kisa tunafanya maendeleo imepita karne nyingi tu.