Mtangazaji machachari wa kipindi cha Jahazi cha Clouds Fm..Efrahim Kibonde leo jioni kwenye kipindi ametangaza vita na wote waliotengeneza na kusambaza dawa bandia za kurefusha maisha kwa wahathirika wa HIV/AIDS...Akizungumzia sakata ilo kwa sauti ya uchungu na hasira tofauti na kawaida yake ambapo amezoeleka kuongea kwa mzaha alisema,namnukuu..."wale wote waliotengeneza na kusambaza ARVs feki nitapambana nao mpaka ajulikane tatizo ni nani na achukuliwe hatua,alijalisha hili na halitoisha ivi ivi ili..waingereza wanasema they should shall suffer the consequences"..mwisho wa kumnukuu.
Kwa niaba ya JF natoa pongezi kwa ndugu yetu Kibonde kwa kuonyesha moyo wa upendo na kujali kwa ndugu zetu wahathirika...naomba wengine pia mjitokeze kumpa pongezi.
wamegusa maslahi yake!!!??
huyu ephraim kibonde is a nice person.actually huyu ephraim ndiye aliyesababisha mimi niifahamu jamii forum,maana alisema ukitaka kufahamu hizi gossip nyingi soma jf. Lakini sasa hii venture yake ya kuwasaka wanaouza arv bandia haina maana sana,sijui anatka kugundua nini. juhudi zingeelekezwa kutafuta aids imetoka wapi,halafu utaona it is very interesting. Aids inatokana na us army research kutafuta biological weapon,na imesambaza makusudi africa na who ya united nations kwa kuchanganywa na small pox vaccine. again,hiv imeenezwa kwa makusudi. I don't want you to believe this. Juat do the research yourself,and see what you think.
vinginevya,huyu kobonde nadhani he will be suicided with his wonderful investigation.
nimemnukuu..sijaongeza wala kupunguza neno.
DuhYakukemea yako mengi tu lakini hua anajifanyaga hajui na kutetea uozo. Leo yamemkuta yeye kwa kumeza ARV feki ndio anajifanya ana uchungu, akafie mbele kule.
Huyu jamaa siku nkimkuta mahali basi kitakachotokea hapo ni kugawana vituo,
Yeye Mochwari,
Mimi Segerea.