Simbamwene
JF-Expert Member
- Jun 22, 2008
- 286
- 58
Mtu afungue butcher (Duka la kuuza nyama) wateja wasipate huduma?
Usimjudge mtu kabla hujajua namna yake ya kufikiri ....sababu ya kufanya afanyayo kwasababu wewe sio mtaalamu wa kujua mawazo na nia zao. Uliza...ili ukisema kitu kuhusu mtu hata kama ni mmoja uwe na uhakika na unachokisema.
Lizzy,kabla hujafika huko kwa aliyevaa nguo fupi anajionaje au anajiamini ama la,faham tu kuwa kuvaa nguo fupi ni ishara tosha ya kutokujiamini,sasa nakuuliza ni wanawake wangapi utapishana nao wamevaa nguo fupi au za kubana?Ni "wengi"au "wachache"?Utapata jibu!
Ni kutokujiamini
amini usiamini hata ukijikwida vazi la gunia kama mzuri mzuri tu na utatongozwa na hata pia kuolewa
Najiona nilivyo na nnajiamini.
Swala la ''wengi wanavaa'' sio ishu...ishu ni kwanini wanavaa.Mimi sina haki ya kukuamilia sababu ya wewe kuvaa uvaavyo kama ambavyo na wewe huna haki ya kumuamulia mwanamke yeyote sababu ya yeye kuvaa avaavyo unless umeongea nae ukamsoma na kujua mawazo yake kumhusu yakoje na sababu ya yeye kuvaa avaavyo.
Jifunzeni kuewa watu wengine kiukweli badala ya kujifanya mnajua kutokana na mazoea/makuzi yenu.Jua watu tunatofautiana...mawazo yako sio yangu na yangu sio yako wala hayatakaa yawe...hivyo hivyo sababu zetu za kufanya mambo.
Lizzy,hapa ishu sio kumuamulia yoyote namna ya kuvaa,tunazungumza sababu ya kuvaa hivyo,wakati mwingine haiitaji kuongea na mtu ili ujue anavyofikiri anayoyafanya yanaeleza kila kitu,labda nikuulize sababu za kuvaa nguo fupi ni ipi?
Tunavaa vile tunavyoona vinatupendeza.
Lizzy bana!Sikia,ili nimesema kuwa wakati mwingine na sio kila wakati,lakini pia kama hujui namna mtu anavyoonekana inawakilisha mawazo yake,ili ujue namna mtu anavyofikiri kwa kumwangalia kwa nje inatakiwa uwe na elimu ya utambuzi ili uweze kutambu,hakuna mtu anaejiridhisha kwa kuonsha maungo yake haradhani unless una matatizo ya akili,lakini kama ni mzima utakua na sababu nyuma ya watendo yako!
wanawake wanavaaa ili 'kushikishana adabu' wao kwa wao.....
kuoneshana nani 'anajua kupendeza'.....
kweli mwaya, we ukiona kitu umeridhika nacho/kimekupendeza we tupia tu bana!!
Kwahiyo wewe unatoka nje ili utongozwe/uolewe???
Namaanisha sio lazima kuonesha maungo yako ndo upate mwanamme wa k*** naye
mwanaume analidhika na mwonekane wowote wa mwanamke na si kuvaa nusu uchi.
Kwani kila mtu anavaa ili kupata mwanaume????
Sio kila mtu anahitaji kusifiwa na watu ili ajisikie vizuri au ajue yeye yuko juu...na sio kila mtu anaishi kwa kuridhisha nafsi za wengine ili na wao wairidhishe yake kwa sifa.