Bungeni LIVE,
Mkuchika amesema serikali 2 ndio muundo bora kabisa, pia akasisitiza wanaotaka serikali 3 wanatupeleka kuzimu. Naona serikali sikivu wameweka msimamo wa serikali 2 rasmi na inatisha.
Che Guevara. Point of correction: aliyetoa kauli hiyo si Mkuchika ni Chiligati. Mimi niliipenda kauli ya Mch. Msigwa kuhusu hifadhi ya Mazingira "HATUWEZI KUENDELEA KUVUMILIA KUONGOZWA NA SERIKALI INAYOTUPELEKA JANGWANI"
Hiyo hoja mimi nina tatizo nayo kidogo. Kama kila mjadala wa Muungano inabidi tusubiri mapendekezo ya Katiba mpya, Waziri wa Muungano amesimama bungeni kufanya nini?Wange comment tusubiri mapendekezo ya katiba mpya! Cyo hivy
Mwanasheria mkuu; Lissu ni mpotoshaji, anashauri lissu asome maandiko ya prof.Kabudi, Mwakyembe na wengineo sio prof.Shivji pekee. Anasisitiza ni sahihi znz kutamka neno nchi katika katiba ya zanzibar, kwa kuwa ili muungano upatikane, lazima nchi ziwepo.