rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Kinachonitamanisha kwenda India au nje ya nchi hii kama ningekuwa naanza kusomea degree,kwenye vyuo vikuu(most of them vya nchi yetu)ni kuwa ukiwa nje at any cost utamaliza kwa muda uliopanga labda ushindwe mitihani, hapa kwentu,migomo ya kweli na isiyo ya kweli ndio ina determine kama utamaliza au la,politika vyuoni inakufanya kama ni mlala hoi, usijue utamalizaga lini kama ukibahatika,tuna kazi sisi-we acha tu.Asante kwa msaada wako,labda umeishawasaidia vijana wengi.