wanaotaka kuja kusoma India

collezione

JF-Expert Member
Oct 22, 2010
352
178
Wasaalimu Jamii forum
Mimi ni kijana mwenzenu nasoma india kwa sasa. Ni mwaka wa 4. Nasomea medicine.
Ki ukweli huwa nawasikitikia sana vijana wenzangu, ambao pia naweza waita wadogo zangu. Pale matokeo yanapotoka. Wengi huchanganyikiwa "what next".
Ni wazi idadi ya shule Tanzania ni ndogo sana. Hasa kwa A-level na vyuo vikuu. Hivyo inawalazimu wengi kukatisha ndoto zao na kujikuta wakienda kusoma vitu ambavyo hawajatarajia kama vi-diploma n.k.
Na inasemekana kuwa huwa ni mpango madhubuti kufelisha wanafunzi kutokana na idadi ya shule kuwa ndogo au ufinyu wa fedha za mkopo.
Mimi kama mtanzania na mwenye mapenzi mema na wadogo zangu, nimeona niwaeleze opportunity zilizopo. Usikate tamaa kwa matokeo mabaya au kwa kukosa either shule au chuo. India is a place to study. Si kwamba wanapokea wanafunzi wajinga. La hasha, uku kuna shule nyingi sana. And huwa wanashangaa kwa nini vijana wanatoka Tz na matokeo mabaya wakija uku wanafaulu.
Kwa mfano mimi nilipata div3 ya mwisho, na vyuo bongo walinikataa. But nilipata chuo india na sasa nakaribia kuwa daktari. Na nina uhakika wa kuwa daktari mtaalamu na mjuzi zaidi ya wanaosomea bongo. Nyie wenyewe mnajua India ilivyo kwenye udaktari.
Basi kwa wadogo zangu wanaohitaji kuja india wanipigie kwenye hii namba +91 9731 595412. Kwa wanaotaka kuja kosema degree au pre university. mchipuo au Kozi yoyote ile.
Pre univerity ni kama form 5& 6 ya Tz.
NB: ukinitafuta uwe serious. Usilete utani, sina mda wa utani. Ninachojaribu ni kuwasaidia ili msipoteze malengo yenu
 
vipi kama mtu anakuwa hana uwezo wa kujilipia kusoma huko,,, vipi inawezekana kupata scholarship? lakini vipi kwa ngazi ya masters?
 
vipi kama mtu anakuwa hana uwezo wa kujilipia kusoma huko,,, vipi inawezekana kupata scholarship? lakini vipi kwa ngazi ya masters?

Scholarship zipi kwa kupitia wizara ya sayansi na elimu ya juu. But mpaka leo huwa sijui kina nani wanapataga hizo chance. Huwa haziko wazi. Hope unajua bongo ilivyo. La sivyo Ningefurahi kuona watoto wasio na kipato waje uku kuendeleza academic talents zao uku.
By the way ada za shule za india is cheap than bongo. Sio lazima uwe tajiri ili uje kusoma India
 
Thanks a lot,in brotherhood we thank you, Tz yenyewe ndo hii,tunakufa baba mwenye nyumba anakimbilia finland na mwanaye huku kapata div.IV
 
India ni pazuri kwa medicine na masuala ya IT tu.huko kwenye fani nyingne bora mtu upate hata diploma ya hapa hapa bongo tu.over
 
India ni pazuri kwa medicine na masuala ya IT tu.huko kwenye fani nyingne bora mtu upate hata diploma ya hapa hapa bongo tu.over

Nani kakudanganya?/ acha upotoshaji...mabarabara mengi haapa bongo na majengo yanainjiniwa na wahindi...we vp wewe???
 
India ni pazuri kwa medicine na masuala ya IT tu.huko kwenye fani nyingne bora mtu upate hata diploma ya hapa hapa bongo tu.over

Haha, Tunashukuru kwa mchango wako. But usisahau biashara and economics. And apart from that India now is a leading country kwa kutoa professionals kwenye management and economic field. Kama unafatilia, recently asilimia kubwa ya ma-CEO kwenye makampuni ya marekani ni wahindi. And kama umesoma Economics umetumia vitabu vya kina prof Gupta. Wote hao ni wataalamu wa uchumi.
Haha, Kwa Tz tunaona india wazuri kwa udaktari na IT, kwasababu ndo tunakokimbilia uko tukiumwa. but dunia kwa sasa wanaona wahindi ni wataalamu katika biashara.. And asikuambie mtu, indians know and understand bussiness kuoka damuni.
 
Kwa hyo unawashauri watu wote wanaoliwa vichwa bongo wakimbilie huko india co?maana cjawah ona kipanga anae faulu fresh afu akakimbilia kusoma huko,most of them huwa ni failures ndo wanakimbilia india,cjui kwa nin huwa iko hvo!
 
Kwa hyo unawashauri watu wote wanaoliwa vichwa bongo wakimbilie huko india co?maana cjawah ona kipanga anae faulu fresh afu akakimbilia kusoma huko,most of them huwa ni failures ndo wanakimbilia india,cjui kwa nin huwa iko hvo!
Hivi ni lazima uchangie thread hii!!?? ushamba mwingine huu unajichoresha tu hapa jamvini.
 
Kwa hyo unawashauri watu wote wanaoliwa vichwa bongo wakimbilie huko india co?maana cjawah ona kipanga anae faulu fresh afu akakimbilia kusoma huko,most of them huwa ni failures ndo wanakimbilia india,cjui kwa nin huwa iko hvo!

Haha, mdogo angu amemaliza Alpha high school alipata div 1 pnt 4 PCM.
Anasoma india and Yuko telecomunication mwaka wa 2.
Ndugu sio watu wote wanaofeli wanakuja uku. Mimi nichofanya hapa ni kuwasaidia watu ambao hawajui another option, and this option could be better for them. Mbona wako wanafunzi wenye div 1 wengi tu. Achana na huyo mdogo angu.

And kuhusu kufeli, wapo watoto wa wakubwa walipata div 0 na wengine ni washikaji zangu wapo USA now. We unafikiri wote wanaoenda ulaya wamefaulu??? Au wana div 1.
Shame on you man
 
Haha, mdogo angu amemaliza Alpha high school alipata div 1 pnt 4 PCM.
Anasoma india and Yuko telecomunication mwaka wa 2.
Ndugu sio watu wote wanaofeli wanakuja uku. Mimi nichofanya hapa ni kuwasaidia watu ambao hawajui another option, and this option could be better for them. Mbona wako wanafunzi wenye div 1 wengi tu. Achana na huyo mdogo angu.

And kuhusu kufeli, wapo watoto wa wakubwa walipata div 0 na wengine ni washikaji zangu wapo USA now. We unafikiri wote wanaoenda ulaya wamefaulu??? Au wana div 1.
Shame on you man
Sasa mpaka mtu asome huko awe na uwezo wa kiasi gani cha ada na mambo mengne
 
I can see people in business promotion and Advertising,sijui JF inalipwa au laah!!!!!!!!
 
Naomba unipm ili niweze kuwasiliana na wewe vizuri hapa jamvini utani ni mwingi.
 
Wasalaam,
Ndugu zangu nimepata email nyingi. Kuna wengi wanauliza concrete question, and wapo wanaouliza maswali ya kipuuzi na usumbufu.

Napenda tu kuwataarifu, am not a custumer care. please don't take an advantage of me. May be because nimeamua kusaidia watu. I am sure kuna watu wengi hapa wana shida na walikuwa hawajui hizi details, na ni kama nimewafumbua macho. Please acha wenzako wenye shida wani-contact. Wewe kama huna shida tulia please.

Mimi ni mwanafunzi uku, na nimeamua tu kusaidia watu. Naamini mwenyezi Mungu atanibariki in my future. Kwenye dini wanasema ukiwa mchoyo wa information, haisaidii. utakufa nayo pasipo kuwa na faida yoyote.

Ndugu nimeanzisha hii post kutoka experience niliyoipata kutoka kwa mtoto wa shangazi yangu. Amemaliza 2010 and alipotezaa mwaka mzima nyumbani baada ya kutoswa na vyuo vya bongo. And nimegundua kuna cases za namna hii nyingi. Please guys tuwasaidie ndugu zetu kuendeleza academic talents zao kuliko kukaa nyumbani. Am sure Mungu atatubariki.
Ndugu zangu sisemi kuja India tu. Kama una uwezo mzuri wa fedha unaweza kwenda Uk, USA au australia.

Ila Kwa wanaotaka kuja India mimi nimejitolea kuwasaidia. Naomba nitumie email kama kweli una nia, na una shida.
Asanteni
 
Back
Top Bottom