trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Makabila baadhi ya mikoa ya kusini hayalawiti...
1. Utabanwa hadi utoe kitita cha pesa..
2.Baada ya kukaidi onyo la kuacha mapenzi na mkewe,mume huweza kwenda na kuroga,ambapo siku nyingine utakayomwingilia mama huyo,utaugua hadi kufa! Mojawapo ya mateso ni kukojoa vitu asili ya dagaa,badala ya mkojo wa kawaida.. Mwishowe,kifo!
1. Utabanwa hadi utoe kitita cha pesa..
2.Baada ya kukaidi onyo la kuacha mapenzi na mkewe,mume huweza kwenda na kuroga,ambapo siku nyingine utakayomwingilia mama huyo,utaugua hadi kufa! Mojawapo ya mateso ni kukojoa vitu asili ya dagaa,badala ya mkojo wa kawaida.. Mwishowe,kifo!