Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
chanzo star tv-habar,anasema watanzania muwapuuze wale wote wanaosema tunaibiwa madin na kuachiwa mashimo,anadai serikali iko makini(atakama kuna viwanja vya ndege katika migodi)
Mi binafs najiuliza je tunachopata kinalingana na uhalisia
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
Mi binafs najiuliza je tunachopata kinalingana na uhalisia
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi