Wanaosahihisha mitihani wagoma baada ya kuchakachuliwa posho zao

MADORO

Senior Member
Nov 12, 2011
198
117
Waalimu wanaosahihisha mitihani katika Chuo cha Ualimu, Mandaka katika Mkoa wa kilimanjaro wameingia mgogoro na serikali na wanataka kugoma kuendelea kufanya kazi hiyo baada ya pesa waliyokuwa wameandikiwa katika barua zao kuchakachuliwa na kupewa ziingine kinyume cha makubaliano. Pesa zimepungua toka 900 kwa kila karatasi ya mtihani hadi 700 kwa kila karatasi kwa waalimu wote waliopo huko. Kwa mujibu wa idadi yao na hesabu ya pesa wanayokatwa wanasema ikikatwa yote yaweza kufikia milioni 300. Wenye taarifa zaidi waliopo pale watujuze zaidi.
 
Jamani ualimu si ni wito sasa why wagome?

wito ilikuwa zamani wakati kila kitu kilikuwa bure,kwa sasa ni tofauti sana mambo yamebadilika maisha yamekuwa tofauti na zamani vitu vipo juu na maisha yamepanda

so wapewe haki yao kama walivyo kubaliana
 
Back
Top Bottom