ungesema mapema tusikupe anga za totoz. Utahitaji huduma ya "massage" nikupe location???mwenzangu! Mimi mwenyewe toto. Ha ha ha!
Kama una usafiri jaribu kwenda mnadani Msalato jumamosi huwa unanoga sana, hapo utajichanganya na wapiga kura ambao hawajui ufisadi wala maisha bora, wao nyama inatosha! it's really fun...uta-enjoy mkuu.
Binafsi napenda Royal Village pametulia.huko kote utulivu upo au?
Kwa muda ni takribani dk. 15 mwenye data za umbali(km) atujuze.ni umbali gani kutoka dodoma mjini?
Na hivi ada imepanda mtawamaliza watoto wa wenzenu!Kuna area d Pale akwa komu kuna upepeo MURWA UKIla nyamaa mbuzi nyuma yake kuna hostel za cbe unavuta na totoz wa kujisevia
Huduma ya massage inapatikana New Dodoma Hotel. Saloon nzuri ya kike ipo opposite na TRA Dom karibu na Twins phamacy(nimesahau jina) hapo utapendeza mpaka basi, wagogo wasije kung'ang'ania. Utahitaji na sehemu ya "gym"???nilisahau kusema. Sio mbaya itawanufaisha wengine. Niambie hiyo location ya massage, scrub + hair dressing.
Wapenzi naombeni kujua maeneo ya kujidai/mtoko katika mkoa wa dodoma. Napenda sehemu tulivu ambazo hazina makelele. Nataka niwe najipa mtoko angalau weekend katika kipindi chote nitakachokuwa huku. Thanx.
mwenzangu! Mimi mwenyewe toto. Ha ha ha!
mwenzangu! Mimi mwenyewe toto. Ha ha ha!
Huduma ya massage inapatikana New Dodoma Hotel. Saloon nzuri ya kike ipo opposite na TRA Dom karibu na Twins phamacy(nimesahau jina) hapo utapendeza mpaka basi, wagogo wasije kung'ang'ania. Utahitaji na sehemu ya "gym"???