pasipo hata chembe ya unafiki JK ameongeza uhuru wa vyombo vya habari kuliko watangulizi wake.
MKAPA ALIKUWA NA MADUDU YAKE HAYAKUJULIKANA KWA SABABU ILIKUWA SHUGHULI UKIMWANDIKA VIBAYA.
TATIZO LA KIKWETE NI kule kutotaka kushughulikia kero za msingi (na kulalamika anachezewa rafu kidini na makundi ccm)na kuuacha umma ukihangaika kujua way foward jambo linalowapa wapinzani nguvu kubwa.LEO CDM wanaweza mchezea Rais watakavyo na wanajua namna ya kumweka kiti moto.
MKAPA ALIKUWA NA MADUDU YAKE HAYAKUJULIKANA KWA SABABU ILIKUWA SHUGHULI UKIMWANDIKA VIBAYA.
TATIZO LA KIKWETE NI kule kutotaka kushughulikia kero za msingi (na kulalamika anachezewa rafu kidini na makundi ccm)na kuuacha umma ukihangaika kujua way foward jambo linalowapa wapinzani nguvu kubwa.LEO CDM wanaweza mchezea Rais watakavyo na wanajua namna ya kumweka kiti moto.