Elections 2015 Wanaomchafua Ben Saanane huu ndio wasifu wake

Ben anafaa sana...kwenye,nafasi za juu za bavicha ...hasa katibu au mwenyekiti
 
Atamuwekea Sumu padri au Dj huyo!
Teh teh teh jamaa wa Kigambon Nyerere chali


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
hivi huyu jamaa mwaka 2009 walipomnfanyia fitina kafulila kuwa mwenyekiti BAVICHA si alikuwa ana tuhuma za kutoa rushwa kwa wajumbe ili awe mwenyekiti ???
ben anajua siasa za mtandaoni sio kuleta umoja akwa vijana
bavicha itakufa siku ben akiwa mwenyekiti! sure
 
Chadema kuwe makini sana hapo,Heche amefanya kazi fresh,Na sidhani bavicha wana mgombea saize ya Heche!sifa ya mgombea lazima awe na uwezo wa kuwaunganisha vijana wote na kuwaingiza ndani ya chadema pia lazima awe na historia ya kushirika ktk harakati za chadema.Mfano mauji ya Arusha je alikuwepo pale uwanjani?,Iringa je alikuwepo wakati wa mauji ya mwangosi,Tarime etc,kama kuna Mgombea wa Mkuria,Mchagga,mmasai,kyusa,mhehe mpeni nafasi hiyo
 
Mtu huyu mwenye rekodi ya mwanamkakati wa Pm-7 alizaliwa 13/12/1983
Mkuu Tutashinda, kauli huumba, na lisemwalo lipo kama halipo, linakuja!.
Angalia heading ya bandiko lako hili, na tarehe ya bandiko hili, halafu angalia nini kilikuja kutokea kwa Ben Saanane.


Wana jf tuanze kujifunza kuchunga kauli zetu, kauli nyingine zinaumba, ukisema mwisho wa fulani, bila hata wewe kumaanisha ni mwisho kwa kutoweka, kwenye heading ulisema

"ben-saanane-mwisho-wake-umefika-rasmi",
Wewe bila kujua kuwa kauli hii ina powers, baada ya kutolewa bila kuwekewa any caveat ya mwisho wa nini, then powers zimeanza ku act kuutengeneza mwisho wa Ben.

Maadam kwenye bandiko hili, ulidhamiria mwisho wa Ben Saanane ni mwisho kwenye uchaguzi wa Bavicha, then the headline yako should have said so, " Ben Saanane Mwisho Wake Kugombea Bavicha Umefika Rasmi " ili zile powers za kauli yako iwe limited kwa Bavicha tuu, kitendo cha kutoa open ended statements bila kinga, ndicho kimepelekea kuchangia kufika mwisho kwa Ben Saanane.

Kwenye bandiko hili mimi pia nilichangia
Japo mimi sio Chadema na sina chama, ila tukubali tukatae, ukiondoa mapungufu yake ya kibinaadamu, (hakuna binaadamu mkamilifu), Ben Saanane, is the type of leaders BAVICHA, should have had long ago, and had it been, he had been there, BAVICHA would not have been the same again, it would have been far far ahead, by now CCM ingekuwa bize kukusanya kusanya kilicho chake kupisha njia!.

Thanks.
Pasco.
From no where, jana nimetokea tuu kumkumbuka Ben Saanane, sikujua kwanini, hivyo nilipoamka nikaanza kupitia baadhi ya mabandiko humu ndipo nikakutana na bandiko hili la 2014, nilipolisoma ndipo nikagundua kumbe jana ndio tarehe ya kuzaliwa ya Ben Saanane.
Happy Birthday Ben Saanane.
P
 
Back
Top Bottom