Alexandry Nemesi
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,494
- 568
-Naona dalili za hofu na kupanic tu hata kabla hajachukua fomu makumi ya watu wameingiwa na hofu, wivu, hasira na chuki huku mamilioni ya Vijana tukiwa nyuma yake.
-Tutaendelea kumpigania na kumtetea dhidi ya wale wote wanaotaka kukiharibia chama chetu taswira yake kwa siasa chafu.
-Sio utamaduni wa CHADEMA na tunaomba kamanda Ben asiwajibu chochote atuachie watu hawa wapotoshaji tuwajibu kwa hoja.
1 Ben ni afisa wa idara ya sera na utafiti ya chama. Alikuwa afisa mwanzilishi wa maswala ya kanda makao makuu.
2-Ameshiriki katika vikao vya kiutendaji ndani ya sekretarieti na hata ndani ya kamati kuu.
-Ina maana anakijua chama kwa undani tofauti na uongo wa siasa chafu.
3-Kwa wadhifa wake ndani ya chama ndiye mshauri wa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni juu ya maswala yote ya kisera au sijui kama nimekosea.
4-Amewahi kuwa kiongozi kuanzia shele na vyuo. Alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya watanzania katika chuo cha Allahabad-INDIA.
-Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa kimataifa chuoni.
- Kipindi kilichopita nilisoma tamko lenye wasifu wake,
-Amekuwa afisa utawala na fedha katika kampuni ya Relliance, General Manager wa makampuni ya Alpha.
5-Hajawahi kutuhumiwa kutoa rushwa kwenye uchaguzi. Alienguliwa kwenye uchaguzi kwa sababu za kikanuni hasa kuunganisha nguvu na wagombea wengine.
6-Mara kadhaa amekuwa akipata misukosuko na jeshi la polisi na amekuwa na msimamo imara mara zote.
7-Kama isingekuwa anaaminika basi asingeruhusiwa kushiriki vikao vya sekretarieti na kamati kuu ya chama.
8-Anayemchafua Ben anatumiwa na baadhi ya wagombea kwa kuwa ukiwafuatilia atakuwa anamtusi Ben halafu wakati huo huo anamsifu mgombea mwingine.
9-Anayemchafua anahasira kutokana na alikuwa anawaonea huruma wasaliti waliofukuzwa na chama ambao Ben alichangia kwa kiwango kikubwa kuwafichua.
10-Nimesikia jina "MAHAWARA" Linatajwa kuna nini?
Mwisho nawaasa tupambane kwa hoja kwa ajili yaku na BAVICHA imara kwa manufaa ya Watanzania
Mimi Alexandry NEMESI
0766468851
-Tutaendelea kumpigania na kumtetea dhidi ya wale wote wanaotaka kukiharibia chama chetu taswira yake kwa siasa chafu.
-Sio utamaduni wa CHADEMA na tunaomba kamanda Ben asiwajibu chochote atuachie watu hawa wapotoshaji tuwajibu kwa hoja.
1 Ben ni afisa wa idara ya sera na utafiti ya chama. Alikuwa afisa mwanzilishi wa maswala ya kanda makao makuu.
2-Ameshiriki katika vikao vya kiutendaji ndani ya sekretarieti na hata ndani ya kamati kuu.
-Ina maana anakijua chama kwa undani tofauti na uongo wa siasa chafu.
3-Kwa wadhifa wake ndani ya chama ndiye mshauri wa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni juu ya maswala yote ya kisera au sijui kama nimekosea.
4-Amewahi kuwa kiongozi kuanzia shele na vyuo. Alikuwa kiongozi wa Jumuiya ya watanzania katika chuo cha Allahabad-INDIA.
-Amewahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa kimataifa chuoni.
- Kipindi kilichopita nilisoma tamko lenye wasifu wake,
-Amekuwa afisa utawala na fedha katika kampuni ya Relliance, General Manager wa makampuni ya Alpha.
5-Hajawahi kutuhumiwa kutoa rushwa kwenye uchaguzi. Alienguliwa kwenye uchaguzi kwa sababu za kikanuni hasa kuunganisha nguvu na wagombea wengine.
6-Mara kadhaa amekuwa akipata misukosuko na jeshi la polisi na amekuwa na msimamo imara mara zote.
7-Kama isingekuwa anaaminika basi asingeruhusiwa kushiriki vikao vya sekretarieti na kamati kuu ya chama.
8-Anayemchafua Ben anatumiwa na baadhi ya wagombea kwa kuwa ukiwafuatilia atakuwa anamtusi Ben halafu wakati huo huo anamsifu mgombea mwingine.
9-Anayemchafua anahasira kutokana na alikuwa anawaonea huruma wasaliti waliofukuzwa na chama ambao Ben alichangia kwa kiwango kikubwa kuwafichua.
10-Nimesikia jina "MAHAWARA" Linatajwa kuna nini?
Mwisho nawaasa tupambane kwa hoja kwa ajili yaku na BAVICHA imara kwa manufaa ya Watanzania
Mimi Alexandry NEMESI
0766468851