Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Sijui ni kukosa utu, kujali, au kukosa maadili! Inakuwaje watuwengine wanaishi maghorofani ni kana kwamba hawajali wanaoishi chini. Kwani ni lazima iwe ugomvi. Maana angalau nyumba zinazopakana chumba usumbufu unaweza kuwa ni kelele zaidi lakini wanaoishi ghorofani wakati mwingine utafikiria wanagombana na kuta, vitanda, milango na sakafu!
Sijui watu wengine wakoje! ngoja na miye ni bibi yenu tuhamie maghorofani!
Issh!!!
Sijui watu wengine wakoje! ngoja na miye ni bibi yenu tuhamie maghorofani!
Issh!!!