CCM inazidi kupoteza sifa zake kutokana na Viongozi na wanachama wake kutosema ukweli kuhusu ufisadi,ubinafsi na kujilimbikizia mali.
Wanaoipotezea sifa CCM ni hawa tu au kuna wengine?
Angalia Orodha hii na uiongezee:-
1.Yusuph Makamba
2. Kingunge N.Mwiru
3. Tambwe Hiza
4. Edward Lowassa
5. Rostam Aziz
6. Makongoro Mahanga
7. Hendry Chenge
8.
Endelea................................
Wanaoipotezea sifa CCM ni hawa tu au kuna wengine?
Angalia Orodha hii na uiongezee:-
1.Yusuph Makamba
2. Kingunge N.Mwiru
3. Tambwe Hiza
4. Edward Lowassa
5. Rostam Aziz
6. Makongoro Mahanga
7. Hendry Chenge
8.
Endelea................................