Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
first i should declare my interest" mimi sio member wa chadema" ila ninatamani changes katika nchi yangu. sasa kinachoendelea ndani ya cdm kinasikitisha na kinapelekea ku loose interest yao ya kupinga ufisadi. nimekuwa na bahati ya kuwa karibu na baadhi ya viongozi wa chadema na hawa wanaccm waliojiunga na tunaowatarajia kujiunga na cdm wanaweza kupoteza nguvu ya cdm.
viongozi wa cdm watanielewa namaanisha nini ninaposema hivi maana hakuna mchujo kwa watu wanaoingia ndani ya chama chenu and u are expecting them to serve the interest of cdm? here is where many of opposition wanapokosea kwasababu hii ina faida kuonesha mvuto wenu kwa jamii umeongezeka ila hawa watu watakiaribu chama chenu.
Ni nani kakutuma?mambo haya yalishatolewa ufafanuzi.