MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Hizi ni hisia tu ambazo hazina uthibitisho wowote wa kisayansi. Karibuni wana wapotevu Chadema ila huku uzalendo kwanza. Kanuni na taratibu za CDM ndizo zitakazo waongoza.Kutokana na wimbi la uhamiaji wa makada wa zamani wa CCM ndani ya CHADEMA,chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakiko salama.Kuna kila uwezekano kuwa wahamiaji hao,akiwemo Millya wa Arusha,wako kwa maslahi ya CCM.Nimedokezwa na wachambuzi wa mambo kuwa uhamiaji huo una lengo la kukidhoofisha chama cha CHADEMA. 'Wametumwa kupeleleza siri ya nguvu ya CHADEMA,wakimaliza kazi yao watarudi CCM' 'Nani hajui kuwa Millya ni mfuasi nambari moja wa Lowassa? kimeeleza na kuuliza chanzo kimoja toka chama tawala.
Uongozi wa CHADEMA na uwe macho na makini na wahamiaji hawa.Kamanda Mbowe na timu yako na mnisikie...