NICE LAMECK
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 213
- 28
Nape ni tatizo na ana kera sana utawaitje binadamu wenzako Vinyago kweli hapa amevuka mipaka.
Nape leo ametoa jina jipya kwa wanaohama ccm kuwa ni vinyago na vinyago haviwezi kuwatisha hilo ni jina la pili ndani ya wiki moja baada ya kuwaita kuwa ni Oil chafu ametoa kauli hiyo alipokuwa anahutubia wakazi wa makambako mkoa wa Njombe.
Mytake na bado atatoa majina mpaka achoke mwaka huu kimenuka kimenuka tu.
Source ITV
Nape leo ametoa jina jipya kwa wanaohama ccm kuwa ni vinyago na vinyago haviwezi kuwatisha hilo ni jina la pili ndani ya wiki moja baada ya kuwaita kuwa ni Oil chafu ametoa kauli hiyo alipokuwa anahutubia wakazi wa makambako mkoa wa Njombe.
Mytake na bado atatoa majina mpaka achoke mwaka huu kimenuka kimenuka tu.
Source ITV
Kumbe ndiyo maana 'mh'Lusinde hajachukuliwa hatua na Chama chake.Si busara kwa mwanasiasa yeyote yule kutukana wapiga kura. Kwa namna hiyo, hata wale ambao ni wanachama wanaweza kukerwa na matusi ya mwanasiasa huyo na kuamua kukiacha chama.
Mkuu huyo jamaa yupo kazini kuibomoa CCM,uchaguzi mkuu ukikaribia anasepa na wenzake wa CCJ. Huoni walivyo busy kuonyesha ambavyo ni wao tu ndiyo watetezi wa Watanzania?
Mimi sioni kama katukana, naona katumia nahau hapo wala msimuhukumu. Na anaposema tumetoka CCM sikatai ni kweli ila tatizo linakuja anaposema hatuwezi kuiangusha CCM ndipo ninapokumbuka kuwa yeye ni Vuvuzela kumbe hatumii kichwa katika kuchanganua akipulizwa anatoa sauti tuuuuu ikiwa ya ng'ombe au ya binadamu yeyote Vuvu litaitika tu. Mwambieni carolite inaleta cancer ya ngozi ajitahidi kupunguza
Oil chafu, kinyago, Gamba, vijisenti, piga mbizi, inua pua, funga mkanda, kula nyasi, upepo tu utapita, mbayuwayu, wivu wa kike, makapi,........... hayo yote ni maneno tu yatapita. Mbona yeye kuna wakati alikuwa mwanachama wa vyama viwili ...??? CCJ na CCM. By the way Hii herufi C imeumbwa ikae kwenye vyama vya siasa? CCJ, CCM, CUF, CDM, NCCR.........Nape leo ametoa jina jipya kwa wanaohama ccm kuwa ni vinyago na vinyago haviwezi kuwatisha hilo ni jina la pili ndani ya wiki moja baada ya kuwaita kuwa ni Oil chafu ametoa kauli hiyo alipokuwa anahutubia wakazi wa makambako mkoa wa Njombe.
Mytake na bado atatoa majina mpaka achoke mwaka huu kimenuka kimenuka tu.
Source ITV
Mimi si CDM wala CCM au chama chochote. kwanini tusifikirie maendeleo. haya mambo ya huyu kasema hivi kasema hivi hayanatija yoyote. Sisi tunalala njaa halafu nyie mnapata luzuku. Chadema itanisaidia nini na sisiemu itanisaidia nini?
Nadhani kwenye katiba tusiwe na vyama kabisaaaaaa au siasa. haya mambo yanatuzingua. Wenyewe wanaongea tu halafu sisi wananchi tunauana. Nadhani imefika wakati tubadilike. Hawa chadema wamepata luzuku imetusaidia nini sasa? badala yake wanazunguka nchi nzima kufanya kampeni. wanatumia pesa zetu za kodi. Mimi nin hasira sana na wanasiasa. Hawana lolote!
Unajamba maputo annael ujui uliongealo ulitaka chadema kwenye kaluzuku na wewe upewe mtaji wa nyanya? Huku unaiacha ccm na mavi-ongozi yake wanatusua tu hela zetu za kodi,madini na misaada mbalimbali nashindwa nikutukaneje utanitafutia BAN bure endelea kujamba maputo kama NAPPE