Nape leo ktk East Africa Radio amekaririwa akiwaita watu wanaohama CCM ni sawa na 'Oil chafu' kwani unapoendesha taasisi kubwa kama CCM ni sawa na Gari ambapo hufika mahali huitaji kusafishwa kwa kumwaga oil chafu na kuweka nyingine mpya.
My take:
Kama ni hivyo mbona CCM haitafuti wanachama wapya (oil mpya) badala yake hata oil chafu inaisha (wanachawa wa zamani). Je, gari litatembea kweli au ndio kufa tu?
My take:
Kama ni hivyo mbona CCM haitafuti wanachama wapya (oil mpya) badala yake hata oil chafu inaisha (wanachawa wa zamani). Je, gari litatembea kweli au ndio kufa tu?