Wadau,watu wengi wamekuwa wakilalamika juu ya matatizo mbalimbali yaliyo na yanayolikabili taifa,lakini kuna watu ambao huwa wanafikiri kwa makalio nionavyo mim hawa ndio wametufikisha hapa....wacha niwataje
1.Wananchi wanaopiga kura baada ya kuhongwa,aidha sabun,nguo,pilau au chochote.
2.Wauza shahada wakat wa uchaguz
3.Wasiopiga kura kwa makusudi kwa madai kuwa hakuna tija kwao kupiga kura
4.Wawakilish wetu wanaoamua kuatetea na kuunga mkono hoja kwa 100%
5.Watendaji wa serikali wanaoamua kusain mikataba ya hovyo kwa maslah yao,mfano mwanasheria aliyepita na wa sasa
6.Mawaziri wanaopenda kujibu maswali ya hovyohovyo bungen kama vile magembe.
7.Viongoz wa kidin wanaotetea ujinga wa serikal
8.Huyo anaewateua watendaji kwa kujali uswahiba
Endelea kutoa list ya wanaofikiria kwa kutumia MAKALIO au vijambio
1.Wananchi wanaopiga kura baada ya kuhongwa,aidha sabun,nguo,pilau au chochote.
2.Wauza shahada wakat wa uchaguz
3.Wasiopiga kura kwa makusudi kwa madai kuwa hakuna tija kwao kupiga kura
4.Wawakilish wetu wanaoamua kuatetea na kuunga mkono hoja kwa 100%
5.Watendaji wa serikali wanaoamua kusain mikataba ya hovyo kwa maslah yao,mfano mwanasheria aliyepita na wa sasa
6.Mawaziri wanaopenda kujibu maswali ya hovyohovyo bungen kama vile magembe.
7.Viongoz wa kidin wanaotetea ujinga wa serikal
8.Huyo anaewateua watendaji kwa kujali uswahiba
Endelea kutoa list ya wanaofikiria kwa kutumia MAKALIO au vijambio