Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
ayaahh!... Sikiujua kama kuna machizi wanaweza kupost thread humu jf hadi nilipoiona hii!
Wala hata siyo chizi huyu mtu, kwa hakika ni limbukeni
ayaahh!... Sikiujua kama kuna machizi wanaweza kupost thread humu jf hadi nilipoiona hii!
Wewe unawakilisha kundi gani hilo mnalofikiria kuwapa urais,kundi langu litaamua baada ya kupitia sifa za wagombea wote,hatupo kichama,kidini,kikabila, kiukanda wala kimagazeti!!
1. Edward Lowassa
2. Dr. John Pombe Maghufuli
Akiteuliwa mmoja kati ya hawa, watanganyika tutafikiria kuwapa CCM urais, tofauti na hawa tutawapa chadema nchi.
Tafuta hotuba ya baba wa Taifa ya mwaka 1995 ndio iliyomchambua Lowasa Sio sisi. Sisi hatumchambui kwanza nani kakwambia uchaguzi utakuwa mwaka 2015? Uchaguzi ni mwakani 2013? Tafuta sababu humuhumu JF utazipata kwa nini mwakani.Mimi huwa natamani sana siku moja mtu aje na facts zinazoonyesha kwanini Lowassa hafai kuwa president lakini badala yake wana wanakuja hapa na maharisho yao waliyojiharishia huko. Lowassa is a tough decision maker, is charismatic, brave, experienced leader, innovative ,etc
kumbe wewe binafsi hauna hoja, unaongozwa na mizimu! shame on youeep:Tafuta hotuba ya baba wa Taifa ya mwaka 1995 ndio iliyomchambua Lowasa Sio sisi. Sisi hatumchambui kwanza nani kakwambia uchaguzi utakuwa mwaka 2015? Uchaguzi ni mwakani 2013? Tafuta sababu humuhumu JF utazipata kwa nini mwakani.
Kama sheria na taratibu zinafuatwa na kutekelezwa hamna issue ya tough decision maker ni kila mtu kufuata sheria na mambo yote anakwenda sawaMimi huwa natamani sana siku moja mtu aje na facts zinazoonyesha kwanini Lowassa hafai kuwa president lakini badala yake wana wanakuja hapa na maharisho yao waliyojiharishia huko. Lowassa is a tough decision maker, is charismatic, brave, experienced leader, innovative ,etc
1. Edward Lowassa
2. Dr. John Pombe Maghufuli
Akiteuliwa mmoja kati ya hawa, watanganyika tutafikiria kuwapa CCM urais, tofauti na hawa tutawapa chadema nchi.
1. Edward Lowassa
2. Dr. John Pombe Maghufuli
Akiteuliwa mmoja kati ya hawa, watanganyika tutafikiria kuwapa CCM urais, tofauti na hawa tutawapa chadema nchi.
chadema bado wachanga hawawezi pewa nchi acha utani kabisa1. Edward Lowassa
2. Dr. John Pombe Maghufuli
Akiteuliwa mmoja kati ya hawa, watanganyika tutafikiria kuwapa CCM urais, tofauti na hawa tutawapa chadema nchi.