Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 270
Mkuu naöna unazidi kuilazimisha concept yako ya wavunjo ndo wachaga bt huna wafuac wa kukusuport....mpaka karne hii it is no gud kupiga domo who is a real chagga.....it is not useful let us be all Tanzanians regardless of tribal disparities.Mie pia ni mzaliwa wa huko bt lets hold a breath over this! I stand to be corrected.Wachagga unaimanisha wavunjo sio, kwa maana hao wengine sio wachagga